Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Tahadhari ya kwanza ,maagano na viapo utakavyoingia ni ngumu kuyavunja labda yesu mwenyewe,na huweka blood signature
Pia ujiandae kuishi kwa kunywa damu,maana damu ina uhai.
Jiandae kuwa na unreggular shape yaani sio mtu wa kawaida,pia kutunza siri zao bila kutoa popote.
Haya kwangu ni simple sn.

Si biblia inasema hakuna dhambi ndogo wala kubwa..muuaj atapata adhabu sawa na alietamani mke wa mtu au mali ya mwingine??

Ukiamua kufanya dhambi fanya dhambi kweli kweli
 
Haya kwangu ni simple sn.

Si biblia inasema hakuna dhambi ndogo wala kubwa..muuaj atapata adhabu sawa na alietamani mke wa mtu au mali ya mwingine??

Ukiamua kufanya dhambi fanya dhambi kweli kweli
nikumbushe mstari mkuu
 
Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various forms all over the world, and claims millions of members. All of these various forms share moral and metaphysical ideals, which include in most cases a constitutional declaration of belief in a Supreme Being.

The fraternity is administratively organised into Grand Lodges (or sometimes Orients) that each govern their own jurisdiction, which consists of subordinate (or constituent) Lodges. Grand Lodges recognise each other through a process of landmarks and regularity. There are also appendant bodies, which are organisations related to the main branch of Freemasonry, but with their own independent administration.

=====
Principles of Freemasonry

Principles of Freemasonry can be discussed quite freely and openly – there is no secret about them. The so–called Masonic secrets relate only to the means of recognition between Freemasons.

Freemasonry amplifies the duty owed to God, to a neighbour and to the member himself. It requires the practice in every-day life of every virtue, it neither competes with nor is a substitute for religion. Freemasonry has no part whatsoever in politics – indeed topics of political or religious discussion are specifically forbidden at meetings of Freemasons!

Complete loyalty is required of a Freemason to his country of birth and/or adoption. A Freemason is required to submit willingly to all lawfully constituted authority. Freemasonry forbids and discountenances disloyalty.

Freemasonry requires that every candidate for admission shall come of his own free will, prompted by a desire to be numbered amongst the members of an institution whose principles he is willing to embrace. He must profess a belief in a Supreme Being and there is no compromise to this.

Great Importance is attached to personal and social contacts in Freemasonry not only in the Lodge itself but also at the banquet and on those special occasions when our Ladies can join us.

Great benefit and satisfaction is derived from the association of men impelled by common ideals and goals. It not only enriches our lives as individuals but also makes our Institution a beneficial element of the community to which we belong.

There are bodies styling themselves Freemasons which are quasi-Masonic or imitative of Freemasonry and to visit or be associated with any such body is a serious Masonic offence.

When travelling abroad if invited to visit a Lodge you should first make sure that the Lodge is one working under the jurisdiction of, or recognized by the Grand Lodge of England. This should be done by communication with Grand Secretary or District Grand Secretary for guidance. Grand Lodges of other Constitutions in amity with the Grand Lodge of England are listed in the Masonic Year Book.

Members of the English Constitution should bear in mind that some of these Grand Lodges may recognise other Grand Lodges not in amity with the United Grand Lodge of England. When visiting a Lodge under another constitution it is possible that there could be present, quite legitimately, so far as it is concerned, members of a Constitution not recognised by the English Constitution.

Such a situation calls for tact and diplomacy in withdrawing without giving offence, bearing in mind that it is part of the duty of members of the English Constitution not to associate Masonically with members of un-recognised Constitutions and that this duty transcends the more apparent calls of courtesy and politeness.

======

Freemasonry uses the metaphors of operative stonemasons' tools and implements, against the allegorical backdrop of the building of King Solomon's Temple, to convey what is most generally defined as "a system of morality veiled in allegory and illustrated by symbols."


Let's start with their normal signs... Read em carefully halafu fikiria, tukibahatika tuzichambue moja baada ya nyingine na kuangalia Tanzania iko status gani!

Secret Masonic Handshakes, Passwords, Grips and Signs Of Blue Lodge Masonry

ENTERED APPRENTICE DEGREE


(First Degree in the Blue Lodge)

DUEGARD OF AN ENTERED APPRENTICE
eadueg.gif

The Duegard of an Entered Apprentice represents the position of the hand when taking the oath of an Entered Apprentice, "my left hand supporting the Bible and my right hand resting thereon."

SIGN OF AN ENTERED APPRENTICE

easign.gif


The sign of the Entered Apprentice alludes to the penalty of the Entered Apprentice's obligation. The sign is made by drawing the right hand rapidly across the neck as shown on the left. The penalty that the sign alludes to is, "having my throat cut across, my tongue torn out by its roots, and my body buried in the rough sands of the sea at low water mark, where the tide ebbs and flows twice in twenty-four hours, should I ever knowingly violate this my Entered Apprentice obligation."

Explanation of the Entered Apprentice sign: Draw the right hand rapidly across the neck as represented and drop the arm to the side. This action shows the penalty of having the throat cut and the tongue ripped out.


"BOAZ"
GRIP OF AN ENTERED APPRENTICE
(HANDSHAKE)


eapass.gif

The Grip of the Entered Apprentice is made by pressing the thumb against the top of the first knuckle-joint of the fellow Mason, the fellow Mason also presses his thumb against the first Mason's knuckle.

The name of this grip is "Boaz". When a candidate is imparted with this grip and its usage it is done in this manner."

First the Worshipful Master says to the candidate:
"I now present my right hand in token of friendship and brotherly love, and will invest you with the grip and word. As you are uninstructed, he who has hitherto answered for you, will do so at this time."

The Worshipful Master of the lodge then has this exchange with the Senior Deacon, who is standing next to the candidate, who is still kneeling at the altar, after have assumed the obligation of this degree:

Note: In the following discourse WM stands for Worshipful Master, and SD stands for Senior Deacon.
WM: Brother Senior Deacon. SD: Worshipful Master. WM: I hele. SD: I conceal. WM: What do you conceal? SD: All the secrets of a Mason in Masonry, to which this token alludes. (At this time, the candidate is shown the grip of an Entered Apprentice) WM: What is that? SD: A grip WM. Of what? SD: Of an Entered Apprentice. WM. Has it a name? SD: It has. WM: Will you give it to me? SD: I did not so receive it, neither will I so impart it. WM: How will you dispose of it? SD: Letter it or halve it. WM: Letter it and begin. SD: You begin. WM: Begin you. SD: A WM: B SD: O WM: Z WM: (Directing his words to the candidate): "Boaz, my Brother, is the name of this grip, and should always be given in the customary manner, by lettering or halving. When lettering, always commence with the letter, "A".

MASTER MASON DEGREE (Third Degree in the Blue Lodge) DUEGARD OF A MASTER MASON


mmdueg.gif

The Duegard of the Master Mason alludes to the position of the hands when taking the oath of the Master Mason, "both hands resting on the Holy Bible, square, and compasses."

"TUBALCAIN"
PASS GRIP OF A MASTER MASON (HANDSHAKE)
mmpass.gif
"MA-HA-BONE" REAL GRIP OF A MASTER MASON (HANDSHAKE)
lionspaw.gif

The Mason firmly grasps the right hand of a fellow Mason. The thumbs of both hands are interlaced. The first Mason presses the tops of his fingers against the wrist of the fellow Mason where it unites with the hand. The fellow Mason at the same time presses his fingers against the corresponding part of the the first Mason's hand and the fingers of each are somewhat apart. This grip is also called the Strong Grip of the Master Mason or the Lion's Paw. Instruction for this grip is given at the "graveside", after the candidate has been "raised".

THE FIVE POINTS OF FELLOWSHIP
5point.gif
Melo hujaongelea the dark side of freemasonry,of which there is so much and the greatest part.Philanthropy ni ni tactic tu ya kuficha uovu wao,kama vile panya anavyo-uma na kupuliza. Infact the greatest part of fremasonry is evil,that is why it is so secretive.Hapa ni kama umepamba pamba tu Melo.How can an organization which sacrifices children and uses aborted babies,human blood in rituals be considered alright.Melo you have hidden so much information, this is not Freemasonry inside out.This is a very superficial image of Freemasonry.
 
BWANA CHARLO KARIBU SANA

FREEMASON HUJIUNGA HIVI HIVI KAMA UNAVYOFIKIRIA NI WATU WANATAFUTWA HASWA KUTOKA VYUONI NA SEHEMU ZINGINE WANAKARIBISHWA NA KUPEWA MAFUNZO MAALUMU KUNA KATIBA NA SHERIA ZAKE , MAKUNDI MENGI YA FREEMASON NI YA VIZAZI NA VIZAZI NA WENGI WAKO KARIBU NA KUJUANA SANA SANA

NIMEONA UKO NA INTEREST SANA PIGA 0784 360204 AU EMAIL hollymaro@gmail.com

ITAPENDEZA UKASEMA UKO WAPI AU EMAIL YAKO AU MAWASILIANO YAKO YA KARIBU UNAWEZA KUONANA NA WATU MAALUMU
Duuuuih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FREEMASONS NI NINI? NA MTU ATATOKAJE HUKO?

Shalom! Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuongeze maarifa ya Neno la Mungu.
Leo tutajifunza juu ya kikundi kinachoitwa “Freemasons” na jinsi gani ya kutoka au kuwasaidia ambao tayari wameshaingia humo.

Kwa kuanzia tujifunze kidogo historia ya kikundi hicho: Freemasons tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili ni "wajenzi huru" ingawa hawatambuliki kwa jina hilo, lakini kwa asili ni kikundi cha wajenzi. Kikundi hichi kilianzishwa miaka mingi kinadai tangu wakati wa ujenzi wa hekalu la Mfalme Sulemani, japo umaarufu wake umekuja kuwa mwingi katika karne za hivi karibuni.

Kikundi hichi kinaamini "kulikuwa kuna siri zimefichika ambazo ndizo zilitumika katika ujenzi wa hekalu la Mfalme Sulemani"...Na kama vile wakristo wanavyoamini kuwa Yesu Kristo ndiye Masihi na kiini cha siri zote za Mungu. Vivyo hivyo Na Freemasons wenyewe wanamwamini mtu mmoja anayeitwa HURAMU, Kama Masihi wao, huyu anapatikana katika kitabu cha 1Wafalme 7, ambaye ndiye aliyekuwa mtu wa mji wa Tiro ambao kwa sasa ni maeneo ya nchi ya Lebanoni. Huyu ndio kama Masihi wao.

Sasa kikundi hichi ni cha Siri, tukisema ni cha siri haimaanishi watu wake hawaonekani, au majengo yao hayajulikani..Hapana! Vikundi vya Freemasons vyote vimesajiliwa na serikali zote duniani, na vinalipa kodi, kwahiyo ni watu waliowazi..Kitu pekee ambacho ni siri ni "IBADA ZAO". Na sheria za dunia zinawalinda kufanya ibada zao kwa siri. Kama vile sheria zinavyolilinda shirika la COCACOLA kuficha formula ya utengenezaji wa vinywaji vyao.Ni watu wachache sana wanafahamu, Na hiyo yote ni kuzuia unakiliji wa bidhaa zao.

Freemasons ina wanachama zaidi ya milioni 6 duniani kote, miongoni mwao wakiwa, maraisi, wanasiasa, wana uchumi, wanasayansi, madaktari, waalimu, viongozi wa dini, wakulima, n.k...Idadi kubwa ya wanachama hao ipo nchini Uingereza na Wales. Mshirika kabla ya kujiunga ni lazima awe ana imani ya kuwa kuna "nguvu ya Kiungu"....Hiyo ikifunua kwamba tayari hicho ni "kikundi cha rohoni" kama huamini huwezi kuwa mshirika ...Wanaojiunga huko ni watu kutoka dini zote duniani, waislamu, wahindu, wakristo-jina, wabudha n.k..Baada ya mshirika mpya kujiunga anatakiwa kukusanyika na wenzake mara kwa mara katika majengo yao maalumu ya ibada yanayoitwa "Grand Lodges"..Ndani ya Ibada hizo wanatumia ishara ya vitu vingi, katika vidole, mikono, miguu, na pia wana ishara za picha na vito kama pete, mikufu, stika, ribbons, na ishara za vifaa vya ujenzi kama bikari, rula, pembe tatu.n.k na Kila ishara ina maana yake. Kama vile sisi wakristo tunavyokuwa na ishara ya misalaba kanisani mwetu, Inafunua kitu kilichotendeka Kalvari.

Sasa Ibada hizo zinabadilika kulingana na vyeo, wenye vyeo vya chini hawafanyi ibada zinazofanana na wenye vyeo vya juu, na pia wenye vyeo vya chini hawafahamu siri nyingi kama wanazofahamu wenye vyeo vya juu. Hapa ndipo watu wengi wasipojua!…tutakuja kupaelewa vizuri mbele kidogo mwa somo hili…

Sasa vyeo hivyo vimegawanyika katika ngazi kuu 33 wanazoziita "shahada" au "degrees"
Mshirika mpya anayejiunga, kuna viapo anaambiwa aape, moja ya viapo hivyo ni kukiri kuwa mwaminifu, na kutokufichua siri yoyote ya chama hicho, na pia ataambiwa akiri kwamba endapo atafichua basi atakufa, na pia anaambiwa aape kwamba atakuwa mwaminifu, na pia atakuwa tayari kushirikiana na wenzake, na kusaidiana na wenzake kwa hali na mali…
Na katika hatua za awali, ataambiwa tu hicho ni kikundi cha kijamii!, kinachoamini katika ujenzi, na cha kusaidiana, na wala hataambiwa siri nyingi za kikundi hicho,..Na wala hawatamkataza kurudi kusali katika kanisa lake kama ni mkristo. Ila kwa jinsi siku zinavyozidi kwenda na anayozidi kupanda vyeo, ndipo ataanza kugundua kuwa sio sehemu ambayo aliambiwa pindi alipokuwa anajiunga.

Wengi waliojiunga na kutoka wanasimulia..."kuwa pindi walipojiunga, hawakujua chochote na pia walikuwa wanauhuru wa kuendelea kurudi kwenye makanisa yao kuabudu" na tena walikuwa wanapingana vikali na wale waliokuwa wanakishutumu chama hicho kuwa ni chama cha kishetani" na kinachoamini mauaji.

Wengine wanasema "Nilikuwa mshirika wa chama hicho kwa miaka mingi lakini sikuwahi kujua kuwa ni chama kinachomuabudu shetani" kwasababu wote tuliokuwa ndani ya chama hicho wenye degree ndogo, tulikuwa na upendo, na tulikuwa tunasaidiana, na kupeana fursa..Mpaka nilipofika ngazi za juu ndipo nilipoelewa kuwa sio sehemu salama"..mmoja aliyekuwa na degree ya 2 aliyetolewa huko na Bwana Yesu alihojiwa... je! ulishawahi kumuona shetani ndani ya ibada zenu?...akasema la! hata siku moja, wala sijawahi kuona vitu vya kiroho kama mapepo ndani ya logde! nilikuwa naingia na kutoka tu kama ninavyoingia kanisani...Na wala nilikuwa siamini kwamba ni kikundi kibaya kwa miaka kadhaa...na wala sikuwahi kutoa kafara yeyote ya mtu! mpaka baadaye sana nilipokuja kugundua kuwa hayo yanafanyika na wenye shahada za juu na hawatuambii sisi.

Kuanzia shahada ya 30 na kuendelea ndio wanaotokewa na mapepo na kuzungumza na shetani mwenyewe, na hao ndio wanaojua siri nyingi za chama hicho kuwa ni chama cha kumwabudu shetani moja kwa moja! na agenda kubwa ya chama hicho ni "kuikimbiza dunia katika ustaarabu mpya wa ulimwengu" ambao utakuja kuhasisiwa na Mpinga-kristo, chini ya utawala wa kirumi” katika siku za mwisho, lakini wengine wa shahada za chini hawaelewi sana.

Freemasons pamoja na vikundi vingine vya kichawi kama Iluminati, Brotherhood, ku-klax-klan,sisterhood, vinafanya kazi zinazofanana..Vyote ni vikundi vya kumwabudu shetani. Kwahiyo sio wote waliojiunga na freemasons wanaoelewa wapo sehemu gani.

JE! FREEMASONS NI WA KUOGOPWA?

Dhana iliyopo sasa hivi, ambayo hiyo inatokana na kukosa maarifa ni kwamba mtu aliyejiunga na freemasons tayari huyo ni pepo! hapana! hiyo si kweli kama tulivyotangulia kusema wapo wengine hawajui chochote wamedanganyika tu wakidhani kuwa ni kikundi cha kijamii cha kusaidiana kama vikundi vingine..Sasa hao wanahitaji msaada! Kumbuka ni watu kama wewe na mimi, wanapumua, wanasikia maumivu, wana hofu kama wewe na mimi, hivyo ni wa kusaidiwa kutoka huko kabla hawajazama kikabisa kabisa humo...sio wa kuwakimbia…Wanahitaji injili ya Yesu Kristo ya msamaha wa dhambi..wengine hawaelewi wamepelekwa tu na marafiki zao, ni kama tu makahaba waliojiingiza kwenye madanguro sio wote wanaelewa madhara ya kuwa kule, wanahitaji wokovu kama wewe ulioupata.
Ukienda pasipo maarifa kwa mtu ambaye ni freemason na kumwambia wewe ni shetani! unaabudu shetani na unatokewa na shetani kila siku na kuzungumza naye na kuua watu na kuwatoa kafara! na unakunywa damu...kwasababu tu umemwona kavaa pete yenye alama zao…

Ni rahisi sana kumkosa kwasababu hivyo unavyovisema unaweza kuta havifanyi katika levo aliyopo huko…kwasababu wote wanaojiunga huko kwa mara ya kwanza ni lazima wadanganywe… Hivyo huyo ni kumweleza kwa maarifa mwanzo wa chama hicho na mwisho wake.. Na kumweleza Injili ya Yesu Kristo ya msalaba...Lakini ukikutana naye na kuanza tu! kukemea hapo hapo! na kumwogopa!...na kumhakikishia kwamba yeye ni mchawi..atakushangaa sana na hatakuelewa, na pengine atakuchukia na itamfanya azidi kuamini kuwa yupo sehemu salama zaidi. Wengi waliojiunga huko ni kwasababu wamekosa maarifa..Hivyo wanatakiwa waokolewa kwa kupewa maarifa ya Neno la Mungu. Hivyo usikose maarifa ya namna ya kuvua roho za watu!.

Biblia inasema katika Hosea 4:6 “Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;..”

Na pia jambo lingine watu wasilolijua ni kwamba Freemasons watu hawajiungi kwa kupitia Facebook, wala hawajiungi kwa kupitia vipeperushi huko barabarani, wala vinakala juu ya nguzo za umeme…Huo wote ni utapeli tu ambao watu wanadanganywa…Ni watu wa kawaida ambao wanatafuta kupata pesa za kitapeli. Na pia freemasons ni kitu kidogo sana kwa mtu aliyeokoka haipaswi kukuzwa kiasi hicho mpaka kutengeneza hofu ya kupita pembezoni mwa barabara yenye jengo la freemasons, wala kumsalimia mtu aliyejiunga huko..Hakuna chochote kitakachokupata ukiwa ndani ya Kristo kwasababu shetani ni yule yule, unayeshindana naye kanisani ndio huyo huyo huko freemason! Sasa unachoogopa ni nini?

Na pia usikose maarifa kuwa freemasons ni mahali watu wanakwenda kupewa pesa!! hawaendi kupewa pesa, waliotoka huko na kumpa Bwana Maisha yao, wanasema “watu wote wanaojiunga huko ni wafanya kazi” na kule hawapewi pesa kana kwamba kuna ATM inayomwaga pesa…hapana! isipokuwa waliopo kule wanapeana fursa wao kwa wao, na ndio moja ya viapo vyao… freemasons wenzao waliopo ngazi za juu katika shughuli za ulimwengu kila mmoja ana jukumu la kumwangalia mwenzake aliye chini..Kama mmoja yupo ngazi ya juu katika serikali anamnyanyua freemasons mwenzake aliye chini, kama mmoja ni mkurugenzi basi ikitokea nafasi ya kazi anamtafuta freemason mwenzake anamchomeka hapo n.k hiyo ndio maana unaona mtu aliyejiunga anaweza kupata maendeleo ya ghafla, na endapo akijitoa wananyanganya ile nafasi, ndio maana unaona mtu anaporomoka ghafla. Lakini sio kwamba wanapewa hela za kimajini ambazo zinatokea tu kichawi! Huko ni kukosa maarifa!

Hivyo kama umejiunga huko! Kumbuka kujiunga kunakozungumziwa sio kwa kupitia facebook! Au mtandaoni….Kuna watu nimekutana nao, wanakuja kuomba msaada, wamedanganywa na matapeli facebook na kuambiwa wasipotuma kiasi fulani watakufa! Na hivyo wanaogopa na kutuma pesa! Hao ni matapeli..kujiunga kunakozungumziwa ni kule kuwasili kwenye hayo maukumbi yao, na kupewa viapo na kukutana na washirika wengine. Kama umejiunga kwa namna hiyo, mlango wa kutoka upo wazi…Huko ulipo upo kwenye elimu ya shetani kamili, na nguvu za giza zimekufunika..Unamwabudu shetani sasa bila kujua, lakini ipo siku utamwabudu waziwazi, hivyo unayo nafasi ya kutoka…haijalishi uliapa kiasi gani! Kuwa utakitumikia chama hicho na endapo ukitaka kutoka utakufa! Nataka nikuambie hutakufa! Zaidi ya yote ukiendelea kukaa huko ndio utakufa.

Hapo ulipo fanya jambo moja la kiimani! Tubu! Na uwaambie mimi sio mmoja wenu tena! Watakutishia lakini hakuna kitakachokupata! Kwasababu aliye upande wako ni mkuu kuliko aliye upande wao. Na usiende tena huko, wala usifanye ibada zao, wala ishara zao, choma vito vyao, uniform zao, pamoja na mihamala yao..futa na namba za washirika wenzako. Tafuta kanisa la kiroho linaloamini injili kamili ya YESU KRISTO, dumu huko, Na ukae katika mafundisho ya Kweli ya Kristo Yesu. Au wasiliana nami inbox, au kwa namba hizi 0789001312/0672390320.

Kumbuka washirika wote wa Freemasons watakwenda kuzimu kama wasipotubu! Hivyo kama hutatubu utakwenda kuzimu….

Bwana akubariki.

Tafadhali share na wengine, na Pia nakualika kutembelea website yetu hii kwa masomo Zaidi /www wingulamashahidi org/

Sent using Jamii Forums mobile app
Masonic wanapinga kuwa Yesu ni Mungu, wanaamini kuwa kuna Muumba wa vitu vyote vilivyomo Duniani "Lord creator of Universe"..

Hii ndio sababu kubwa ya freemasonry kusakwa na kuuliwa na kanisa karne zilizolita, walikuwa wanaonekana kuwa wao ni "Anti Kristo"

Hii ndio sababu ya Kanisa kuwapiga vita kuwa hawa watu ni mashetani, sio watu wazuri, nk
 
Masonic wanapinga kuwa Yesu ni Mungu, wanaamini kuwa kuna Muumba wa vitu vyote vilivyomo Duniani "Lord creator of Universe"..

Hii ndio sababu kubwa ya freemasonry kusakwa na kuuliwa na kanisa karne zilizolita, walikuwa wanaonekana kuwa wao ni "Anti Kristo"

Hii ndio sababu ya Kanisa kuwapikiga vita kuwa hawa watu ni mashetani, sio watu wazuri, nk
I also believe the same

ARUSHA KWETU
 
Melo hujaongelea the dark side of freemasonry,of which there is so much.Hapa ni kama umepamba pamba tu.Freemasonry is an extremely evil organization.
Kwa ushahidi upi?How many people did Muslim's Jihad commit during the era of spreading their religion,and how many people did Jews(Foundation of Christianity) murder when they entered "Kanaan" tena kwa order katika kitabu chao cha neno la Mungu kuwa waue na kuharibu kila kitu iwe mali mtoto mpaka mifugo.Sisi watu weusi tunatakiwa tutafute ukombozi wetu.Humu hatuna freemason(s) tunategemea secondary data na nyingi tunasoma za wapinzani wao,kuliko vitabu vinavyowaunga mkono hao Masons.Hapa soma tu usi jump to conclusions very fast. Kama freemason wana lengo baya mbona hao "manigga masons" walikuwa wanapigania haki za mweusi DuBois katajwa,Marcus Gavey katajwa,Elijah Mohamad katajwa pia. Mimi nikiwa "mfuasi wa manufaa" mpaka sasa nakubali kwa statement kama ya nyerere "ni jumuia ya mfano wa kuigwa".
 
Kwa ushahidi upi?How many people did Muslim's Jihad commit during the era of spreading their religion,and how many people did Jews(Foundation of Christianity) murder when they entered "Kanaan" tena kwa order katika kitabu chao cha neno la Mungu kuwa waue na kuharibu kila kitu iwe mali mtoto mpaka mifugo.Sisi watu weusi tunatakiwa tutafute ukombozi wetu.Humu hatuna freemason(s) tunategemea secondary data na nyingi tunasoma za wapinzani wao,kuliko vitabu vinavyowaunga mkono hao Masons.Hapa soma tu usi jump to conclusions very fast. Kama freemason wana lengo baya mbona hao "manigga masons" walikuwa wanapigania haki za mweusi DuBois katajwa,Marcus Gavey katajwa,Elijah Mohamad katajwa pia. Mimi nikiwa "mfuasi wa manufaa" mpaka sasa nakubali kwa statement kama ya nyerere "ni jumuia ya mfano wa kuigwa".
Ushahidi upo kila mahali ukiutaka utaupata.Halafu duh,na uovu wote walio nao bado unawakingia kifua,It's unimaginable.
 
Ushahidi upo kila mahali ukiutaka utaupata.Halafu duh,na uovu wote walio nao bado unawakingia kifua,It's unimaginable.
Uovu gani mkuu?? Mm nawakubali kinyama

Kwanza Ni watu wanaoamini ktk juhudi na matumizi ya akili kwa kiwango cha juu.



Kizibo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom