shamylove
Member
- Oct 4, 2016
- 35
- 44
Mamboz ! Natumani wote wazima ,kiukweli ajira sasa hivi zimekuwa ngumu kupatikana.
Kutokana na swala hilo matapeli ni wengi mno na wanatumia njia tofauti ili waweze kusurvive na msoto huu wa life.
Mimi binafsi ni msichana wa 24 na bado natafuta kazi ila nipo makini sana na kila step yangu na majaribu yanayonikuta.
Juzi kuna msg nilipokea kwa mtu anaedai kuwa yy ni masonic master ambaye yupo Tanzania na lengo lake ni kusaidia vijana na watu wasio na kazi ili wajipatie pesa bila kutoka jasho ili.mradi tu ukubali masharti. Kama ww ni mzembe na huna Imani na dini yako 100% utataka kujiunga ...(Ingawa hawa ni.matapeli).
Ila waliniacha hoi sana waliniambia jinsi ya kujiunga ni lazima uwe na laki 7 as an entry fee ya ufreeMason .
Hivi mimi mwenyewe hohe hahe natafuta kazi laki saba naitoa wap ya kujinga? na hata kama ningekuwa nayo si bora nianze biashara hata ya kioksi kuliko Ushetani huu .
Wakuu ni kweli kwamba kuna watu wanataka kujiunga Free mason kwa moyo wote lakini watu hawajui that is a Devil worshiping thing 100000%.
Nina sikitika sana kuina vijana tunakuwa na intrest na vitu vya kishetani ,tena afadhali huyo wa laki saba unaweza kukata tamaa kuna mpaka wa elfu 30 unambiwa utume then after 24 hrs utakuwa member tayari .
Hata ingekuwa bure ni bora usali kwa mungu wako akubariki na chochote kuliko tamaa za kupata utajiri wa haraka haraka .
Eeh Mungu baba tuepushe na mabalaa ya hiki kizazi na vizazi vyetu vijavyo .
Kutokana na swala hilo matapeli ni wengi mno na wanatumia njia tofauti ili waweze kusurvive na msoto huu wa life.
Mimi binafsi ni msichana wa 24 na bado natafuta kazi ila nipo makini sana na kila step yangu na majaribu yanayonikuta.
Juzi kuna msg nilipokea kwa mtu anaedai kuwa yy ni masonic master ambaye yupo Tanzania na lengo lake ni kusaidia vijana na watu wasio na kazi ili wajipatie pesa bila kutoka jasho ili.mradi tu ukubali masharti. Kama ww ni mzembe na huna Imani na dini yako 100% utataka kujiunga ...(Ingawa hawa ni.matapeli).
Ila waliniacha hoi sana waliniambia jinsi ya kujiunga ni lazima uwe na laki 7 as an entry fee ya ufreeMason .
Hivi mimi mwenyewe hohe hahe natafuta kazi laki saba naitoa wap ya kujinga? na hata kama ningekuwa nayo si bora nianze biashara hata ya kioksi kuliko Ushetani huu .
Wakuu ni kweli kwamba kuna watu wanataka kujiunga Free mason kwa moyo wote lakini watu hawajui that is a Devil worshiping thing 100000%.
Nina sikitika sana kuina vijana tunakuwa na intrest na vitu vya kishetani ,tena afadhali huyo wa laki saba unaweza kukata tamaa kuna mpaka wa elfu 30 unambiwa utume then after 24 hrs utakuwa member tayari .
Hata ingekuwa bure ni bora usali kwa mungu wako akubariki na chochote kuliko tamaa za kupata utajiri wa haraka haraka .
Eeh Mungu baba tuepushe na mabalaa ya hiki kizazi na vizazi vyetu vijavyo .