Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Hakuishinda kesi ya ugaidi alitolewa kwa mbeleko ya Samia, siku akiingia rais mwingine atakamatwa.
Kwa hiyo ni bora alipokutwa na kesi ya kujibu angekomaa hadi ashinde kesi badala ya kukubali mashitaka kusogezwa mbele.
DPP akiamua hata leo anarudisha kesi mahakamani.
Kwa hiyo ni bora alipokutwa na kesi ya kujibu angekomaa hadi ashinde kesi badala ya kukubali mashitaka kusogezwa mbele.
DPP akiamua hata leo anarudisha kesi mahakamani.