Freeman Mbowe ujue jinai haina mwisho

Freeman Mbowe ujue jinai haina mwisho

Anyongwe na Nani?. Ibilisi ameshakufa.
Kengeza wenu kesi yake ya jinai bado ipo kabisa tena na ushahidi ulikamilika na umewekwa kibindoni, yaani siku tu mambo yakiwa sawa atakamatwa na kuhukumiwa kunyongwa mpaka kinyesi kitoke afe kabisa tena na hilo kengeza wanalichomoa kwa bisibisi na atazikwa kama mbwa koko maana hana hadhi ktk nchi. Siku mkiacha kumtukana Dkt Magufuli na sisi tutaacha na tutawaheshimu ila mkiendelea hivi basi mjue kengeza wenu hukumu ya kunyongwa iko pale pale, mjue mfumo ndiyo upo haujafa aliyekufa ni Dkt Magufuli tu mmesikia nyie mbwa wabwekaji, sasa mfumo unawachoraa hahaha subirini hata huyo Lema anadhani kuwatukana bodaboda atabaki salama na kesi zake hahahaha yaani nyie wanaharakati akili zenu za kijinga sana. Kikubwa mmelaaniwa kwa sababu Dkt Magufuli aliwapenda sana akataka sana mfanye naye kazi ila kwa tamaa zenu za rushwa kutoka ulaya na kuendekeza ushoga mliona bora wazungu kuliko Tanzania Mama sasa pambaneni na haitafika jioni mtafika ukingoni na hapo ndiyo mfumo utawashughulikia sawa sawa.
 
Kengeza wenu kesi yake ya jinai bado ipo kabisa tena na ushahidi ulikamilika na umewekwa kibindoni, yaani siku tu mambo yakiwa sawa atakamatwa na kuhukumiwa kunyongwa mpaka kinyesi kitoke afe kabisa tena na hilo kengeza wanalichomoa kwa bisibisi na atazikwa kama mbwa koko maana hana hadhi ktk nchi. Siku mkiacha kumtukana Dkt Magufuli na sisi tutaacha na tutawaheshimu ila mkiendelea hivi basi mjue kengeza wenu hukumu ya kunyongwa iko pale pale, mjue mfumo ndiyo upo haujafa aliyekufa ni Dkt Magufuli tu mmesikia nyie mbwa wabwekaji, sasa mfumo unawachoraa hahaha subirini hata huyo Lema anadhani kuwatukana bodaboda atabaki salama na kesi zake hahahaha yaani nyie wanaharakati akili zenu za kijinga sana. Kikubwa mmelaaniwa kwa sababu Dkt Magufuli aliwapenda sana akataka sana mfanye naye kazi ila kwa tamaa zenu za rushwa kutoka ulaya na kuendekeza ushoga mliona bora wazungu kuliko Tanzania Mama sasa pambaneni na haitafika jioni mtafika ukingoni na hapo ndiyo mfumo utawashughulikia sawa sawa.
Maneno ya mkosaji haya. Hamjafunguka mkaweza kueleweka, fungukeni tujue hiyo jinai ni ipi.

Katika suala la jinai sidhani kama JPM mwenyewe hakuacha jinai hapa duniani.
 
Maneno ya mkosaji haya. Hamjafunguka mkaweza kueleweka, fungukeni tujue hiyo jinai ni ipi.

Katika suala la jinai sidhani kama JPM mwenyewe hakuacha jinai hapa duniani.
Kengeza hana kinga ya kushitakiwa hilo ndiyo muhimu kwa wazee ma mfumo, ndiyo maana Mbowe angekuwa mjanja alipaswa ajiepushe kabisa tena kabisa na issue za kumdhihaki Dkt Magufuli kwa sababu kafa mtu ambaye ni Dkt Magufuli ila ule mfumo uliokuwa unampa mapendekezo Dkt Magufuli upo live kabisa na unaumia ila kimoyo moyo unasubiria siku tu ikifika kengeza kesi hiyo na kunyongwa
 
Kengeza wenu kesi yake ya jinai bado ipo kabisa tena na ushahidi ulikamilika na umewekwa kibindoni, yaani siku tu mambo yakiwa sawa atakamatwa na kuhukumiwa kunyongwa mpaka kinyesi kitoke afe kabisa tena na hilo kengeza wanalichomoa kwa bisibisi na atazikwa kama mbwa koko maana hana hadhi ktk nchi. Siku mkiacha kumtukana Dkt Magufuli na sisi tutaacha na tutawaheshimu ila mkiendelea hivi basi mjue kengeza wenu hukumu ya kunyongwa iko pale pale, mjue mfumo ndiyo upo haujafa aliyekufa ni Dkt Magufuli tu mmesikia nyie mbwa wabwekaji, sasa mfumo unawachoraa hahaha subirini hata huyo Lema anadhani kuwatukana bodaboda atabaki salama na kesi zake hahahaha yaani nyie wanaharakati akili zenu za kijinga sana. Kikubwa mmelaaniwa kwa sababu Dkt Magufuli aliwapenda sana akataka sana mfanye naye kazi ila kwa tamaa zenu za rushwa kutoka ulaya na kuendekeza ushoga mliona bora wazungu kuliko Tanzania Mama sasa pambaneni na haitafika jioni mtafika ukingoni na hapo ndiyo mfumo utawashughulikia sawa sawa.

Wewe unahitaji ushauri nasaha. Inaonekana una stress.

Kwanza, Unaelewa maana nolle prosequi?. Kasome kwanza maana yake kwanza uje tena.

Pili, Kuna ushahidi gani ulitolewa wa kumtia hatiani Mbowe?.

Tatu, Magufuli alipokuwa anawanyanyasa wapinzani ulikemea?. Kama hukukemea kaa kimya.
 
Wewe unahitaji ushauri nasaha. Inaonekana una stress.

Kwanza, Unaelewa maana nolle prosequi?. Kasome kwanza maana yake kwanza uje tena.

Pili, Kuna ushahidi gani ulitolewa wa kumtia hatiani Mbowe?.

Tatu, Magufuli alipokuwa anawanyanyasa wapinzani ulikemea?. Kama hukukemea kaa kimya.
Dkt Magufuli hakunyanyasa wapinzani kabisa, wao ndiyo waliungana na wazungu ili kuisaliti nchi na mfumo ukafanya kazi yake ya kuhakikisha wasaliti hawana nafasi ktk maendeleo ya nchi. Mbowe hana kinga ya kutokushitakiwa kwa ufupi nikuambie
 
Kengeza hana kinga ya kushitakiwa hilo ndiyo muhimu kwa wazee ma mfumo, ndiyo maana Mbowe angekuwa mjanja alipaswa ajiepushe kabisa tena kabisa na issue za kumdhihaki Dkt Magufuli kwa sababu kafa mtu ambaye ni Dkt Magufuli ila ule mfumo uliokuwa unampa mapendekezo Dkt Magufuli upo live kabisa na unaumia ila kimoyo moyo unasubiria siku tu ikifika kengeza kesi hiyo na kunyongwa

Huo mfumo ulikuwa wapi kumsaidia Magufuli asife?.
 
Huo mfumo ulikuwa wapi kumsaidia Magufuli asife?.
Ndiyo maana kuna watu tena watakuja kushitakiwa kwa hilo hilo na wanajulikana na waliofanya huo
mchezo, sasa hivi ni mwendo wa kukusanya ushahidi tu. Mungu akulinde uje ushuhudie miaka inayokuja. Mjanja yeyote analitambua hili maana kwenye mfumo mkubwa ni mdogo na mdogo ni mkubwa
 
Dkt Magufuli hakunyanyasa wapinzani kabisa, wao ndiyo waliungana na wazungu ili kuisaliti nchi na mfumo ukafanya kazi yake ya kuhakikisha wasaliti hawana nafasi ktk maendeleo ya nchi. Mbowe hana kinga ya kutokushitakiwa kwa ufupi nikuambie

Acha uongo, wapinzani walishirikiana na mzungu gani? Halafu wazungu gani na wa nchi gani?. Na walishirikiana kwenye Nini?

Ni kipindi Cha Magufuli Sugu alifungwa jela kwa dhuluma mpaka Mahakama kuu ilipokuja kubatilisha, Ni kipindi Cha Magufuli Lema alikaa rumnde miezi sita bila dhamana mpaka Mahakama kuu ilipolingilia Kati,

Ni kipindi Cha Magufuli been saanane, lwajabe, azory walipotezwa, ni kipindi Cha magufuli watu wasiojulikana walitamalaki, ni kipindi Cha Magufuli Lissu alipigwa risasi, Ni kipindi Cha Magufuli wapinzani walizuiwa kufanya mikutano,

Ni kipindi Cha Magufuli covid 19 walizaliwa, uchaguzi wa 2019 na 2020 uliharibiwa, Ni huyo Magufuli aliyesema mkichagua wapinzani sileti maendeleo. Ni huyo Magufuli alimuamuru Ndugai awashughulikie wapinzani ndani ya bunge wakitoka nje ya Bunge yeye anawashughulikia.
 
Ndiyo maana kuna watu tena watakuja kushitakiwa kwa hilo hilo na wanajulikana na waliofanya huo
mchezo, sasa hivi ni mwendo wa kukusanya ushahidi tu. Mungu akulinde uje ushuhudie miaka inayokuja. Mjanja yeyote analitambua hili maana kwenye mfumo mkubwa ni mdogo na mdogo ni mkubwa

Yeye mbona kamuua saa nane na Azory? Pia kataka kumuua Lissu Seema akapona.
 
Ndiyo maana kuna watu tena watakuja kushitakiwa kwa hilo hilo na wanajulikana na waliofanya huo
mchezo, sasa hivi ni mwendo wa kukusanya ushahidi tu. Mungu akulinde uje ushuhudie miaka inayokuja. Mjanja yeyote analitambua hili maana kwenye mfumo mkubwa ni mdogo na mdogo ni mkubwa

Sasa huo mfumo mbona dhaifu Sana. Unaweza kumtungia kesi Mbowe lakini umeshindwa kumlinda bwana yao asife.
 
Wenzaenu wanafanya maridhiano na kusamehe yaliyopita ila nyie wachawi bado mnaendekeza majungu na chuki za kijinga.
 
Kwa kasi ya upandishaji nyuzi na muandiko huyu mleta mada atakuwa ni bwana yohana mbatizaji.
 
Yaani wewe Kulwa unatatizo la kisaikolojia, maana tangu Jpm afariki dunia akili yako haijakaa sawa.
 
Dkt Magufuli hakunyanyasa wapinzani kabisa, wao ndiyo waliungana na wazungu ili kuisaliti nchi na mfumo ukafanya kazi yake ya kuhakikisha wasaliti hawana nafasi ktk maendeleo ya nchi. Mbowe hana kinga ya kutokushitakiwa kwa ufupi nikuambie
JPM alifanya unyama mwingi wa chini kwa chini. Alitumia madaraka yake mpaka akasahau juu ya ofisi aliyokabidhiwa kuwa ni nyeti sana.

Ni bora ukaiweka wazi hiyo jinai ili uzi wako uwe na haki ya msingi ya kuendelea kuwa hewani.
 
Back
Top Bottom