Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Hilo ni zaidi ya pimbi tuTatizo kubwa la wapumbavu hawawezi kuficha upumbavu wao, kwa akili yake ndogo kama kisoda ya kipumbavu hujihisi mjanja
Hilo ni zaidi ya pimbi tuTatizo kubwa la wapumbavu hawawezi kuficha upumbavu wao, kwa akili yake ndogo kama kisoda ya kipumbavu hujihisi mjanja
Ndiyo kusema alipotoka gerezani na kunyooka Ikulu kw mwaliko alikwenda kushukuru kuhurumiwa? Wengine tuliamini alikwenda kuombwa radhi kwa kesi ya mchongo na kisha kualikwa kwenye mchakato wa kuanza ukurasa mpya. Pamoja na hayo mashetani ya zama za giza ruksa kujifariji. Ingawa ile kesi ilikutungwa zama za giza utawala wa sasa umekuja kuangushiwa jumba bovu na ulikuja kung'amua wakiwa wamechelewa. Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongoza hatua zake.Hakuishinda kesi ya ugaidi alitolewa kwa mbeleko ya Samia, siku akiingia rais mwingine atakamatwa.
Kwa hiyo ni bora alipokutwa na kesi ya kujibu angekomaa hadi ashinde kesi badala ya kukubali mashitaka kusogezwa mbele.
DPP akiamua hata leo anarudisha kesi mahakamani.
Hoja ya kipumbavu hujibiwa kipuuzi, na wewe ni mpuuzi hujawahi kutoa hoja bali kubweka kama mbwa ili kumfurahisha bwana wakoNimeona umetukana tu hujajibu hoja
Hoja yangu ni kwamba jinai haina mwishoHoja ya kipumbavu hujibiwa kipuuzi, na wewe ni mpuuzi hujawahi kutoa hoja bali kubweka kama mbwa ili kumfurahisha bwana wako
Ndiyo ukweli huuNdiyo kusema alipotoka gerezani na kunyooka Ikulu kw mwaliko alikwenda kushukuru kuhurumiwa? Wengine tuliamini alikwenda kuombwa radhi kwa kesi ya mchongo na kisha kualikwa kwenye mchakato wa kuanza ukurasa mpya. Pamoja na hayo mashetani ya zama za giza ruksa kujifariji. Ingawa ile kesi ilikutungwa zama za giza utawala wa sasa umekuja kuangushiwa jumba bovu na ulikuja kung'amua wakiwa wamechelewa. Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongoza hatua zake.
HakikaIpo siku kesi ya ugaidi itaibuka tena
Bibi wa Kizimkazi hajipendi?Ipo siku kesi ya ugaidi itaibuka tena
Bibi wa Kizimkazi hajipendi?