Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Kama mambo yenyewe ndo yatakuwa kama nilivyoshuhudia kibaha, pwani mkoa ambapo ndo nyumbani kwa baba Ritz, basi 2015 patachimbika.
hakuna kulala, hadi kieleweke...
Kama mambo yenyewe ndo yatakuwa kama nilivyoshuhudia kibaha, pwani mkoa ambapo ndo nyumbani kwa baba Ritz, basi 2015 patachimbika.
Sasa huko ndio kutikisa?
Watu wameisha washitukia wachezeshaji wa karata tatu
hizi shahada za india.sasa hapa umeandika nini? dogo
Wanasiasa wawili wanaotikisa katika siasa za Tanzania Mkiti wa Chadema Freeman Mbowe na Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa wanatarajia kuiteka Dodoma siku ya Jumamosi tarehe 20/04/2013
Viongozi hao watakuwa katika uzinduzi wa Kanda ya Kati ya Chama hicho uzinduzi utakaoshirikisha pia wabunge wote wa Chadema walioko Dodoma kwenye vikao vya bunge.
Uzinduzi huo utafanyika katika viwanja vya wajenzi maili mbili Manispaa ya Dodoma.Tangu Chadema ianzishe utaratibu wa Kanda umekuwa mwiba mchungu kwa CCM.
Mimi nipo Dodoma na huo uwanja wa barafu wameshanyimwa ni bora wamemweka MWAKASEGE watu wakasikilize Injili kuliko majigambo na matusiSi mumchukue basi?? CHADEMA ni taasisi na hata mwenyewe analijua hilo fiki!!!! Mbona yupo jiiiiii na watu wanatwanga kwa kwenda mbele. si unaona jinsi walivyo geuka kuwa wapinzani. Maana kazi iliyo baki ni kujibu mashambulizi badala ya kutekeleza ahadi zao kwa waTanzania.
Sasa wewe subiria nyomi ya Jmosi ndio utajua "CHAKA LA SIMBA HARAMU KWA NGUREWE".
Mwambie Wenje anayoiita Serikali yetu ni ------- (isiyokuwa na uwezo )Kumbe akili yako inadaka matusi kuliko mam o ya maana. Unashabikia watu wanaopenda mambo ya Sodoma na Gomora? Mtu mstaarabu anatakiwa ayakemee kwa nguvu zote.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Du UBARIKIWE Mkuu maana Kimbunga wewe ni katika Wachache wanaoona mbali katika mustakabali wa nchi hii hasa Kisiasa huyu Zitto sijui yuko wapi? maana si Bungeni wala mitaani hapa Dodoma kuonekana huyu jamaaMkuu huyo mzanziberi mbona alichafua hali ya hewa!
Mkuu kwa kusema kweli Zitto ni mtu anayepanga hoja zake zikapangika na hana papara wala matusi.
Nadhani tofauti ya Zitto na wabunge wengine vijana utaiona tu.
Kwa mfano Zitto amekuwa akialikwa sana na wasomi pale Nkrumah Hall UDSM katika midahalo mbalimbali. Nadhani wasomi hao humualika kwa kujua kwamba atajenga hoja na si matusi. Sijui vijana gani wengine wamewahi kualikwa kwenye midahalo ya Nkrumah. Hao vijana wengine wanajenga hoja lakini ukiwatwist kidogo tu wanapotea na kuanza kushambulia kwa matusi lakini ZZK hata ukimpinga kwa nguvu namna gani atakuja na hoja shawishi na utakubaliana naye. Juzi nilimsikia kwenye Mdahalo pale UDSM akiwaasa Watanzania hasa vijana kujisomea vitabu ili waweze kujenga hoja badala ya kukufupuka.
twanga kotekote, tukumbushane hiyo kanda ina mikoa gani?
chilosisi unawaaibisha wanawake wenzio kwa upeo wako finyu kama makinda
Kwahiyo unachokuja kuthibitisha hapa ni kuwa Zitto anakuingizia uzi! Good for you.