Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,302
Aachane na kitu kinaitwa maridhiano badala yake harakati za kudai haki na katiba ziendeleeKwa mfano unataka Mbowe afanyeje
Aachane na kitu kinaitwa maridhiano badala yake harakati za kudai haki na katiba ziendeleeKwa mfano unataka Mbowe afanyeje
Umeyasikia Maagizo ya Kamati Kuu last week ?Aachane na kitu kinaitwa maridhiano badala yake harakati za kudai haki na katiba ziendelee
Wewe umezuiwa na Mbowe kudai katiba?Aachane na kitu kinaitwa maridhiano badala yake harakati za kudai haki na katiba ziendelee
Mlikuwa mnamletea RUSHWA asaliti chama Ili iweje km Hana ushawishi.Mnyika huyu huyu aliyekosa ushawishii Hata kwa chama chake?
Mbowe Kachokwa mnoHana jipya lolote na muda siyo mrefu atafurushwa na wanachama Kama Mbatia maana wamemchoka hasa baada ya kutoelewa zinakokwenda Ruzuku na michango yote iliyokuwa Inapatikana
Hivi mbowe ni mwamba wa siasa nchini?Mwamba wa siasa Nchini Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema , Freeman ametajwa hadharani kwamba atakuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yatakayofanyia Mjini Dodoma .
Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .
Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .
Ulizaliwa kwa bahati mbaya kabisa na ndio maana hujui dunia inakwenda wapi kwani unaishi ktk dunia ambayo hukustahili!Hana jipya lolote na muda siyo mrefu atafurushwa na wanachama Kama Mbatia maana wamemchoka hasa baada ya kutoelewa zinakokwenda Ruzuku na michango yote iliyokuwa Inapatikana
Watu wenye akili wakikuchoka kuna tatizo!Mbowe Kachokwa mno
Mumemchoka nyinyi ccm huko. Hata sisi tumewachoka sana ccm na mwenyekiti wake.Mbowe Kachokwa mno
Swali lako ni rahisi sanaHivi mbowe ni mwamba wa siasa nchini?
Sahau kaazishe mchakato harafu utaona Kati yako na wewe Nani ataondokaHana jipya lolote na muda siyo mrefu atafurushwa na wanachama Kama Mbatia maana wamemchoka hasa baada ya kutoelewa zinakokwenda Ruzuku na michango yote iliyokuwa Inapatikana
Tumpe muda kidogo.Najua tunamwamini mwamba lakini amezidiwa kete.
Tuondoe mahaba kwenye ukweli
Asante kwa taarifa, jee ni maadhimisho ya kitaifa, kimkoa, kiwilaya, au kichama?.Mwamba wa siasa Nchini Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema , Freeman ametajwa hadharani kwamba atakuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yatakayofanyia Mjini Dodoma .
Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .
Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .
KiduniaAsante kwa taarifa, jee ni maadhimisho ya kitaifa, kimkoa, kiwilaya, au kichama?.
P
sitaki kuamini mayala usome tu kichwa Cha habari ukimbilie kuuliza swali ,unazeeka vibayasanaAsante kwa taarifa, jee ni maadhimisho ya kitaifa, kimkoa, kiwilaya, au kichama?.
P
Asante sana mkuu01 Oktoba 2022
Dodoma, Tanzania
Freeman Mbowe Mgeni Rasmi Siku ya Wazee Duniani
WAZEE WAJA NA KAULI MBIU YA MGOMO WA KUKATAA KUZEEKA HADI MABADILIKO YAPATANE
Zaidi ya watu milioni moja wanafuatilia live kongamano la wazee wa CHADEMA siku ya leo ya maadhimisho ya wazee duniani katika televisheni, mitandao na platform za media zote.
Wazee kutoka kanda zote kumi huku wazee maarufu kama muwezeshaji wa fikra-huru Jenerali Twaha Ulimwengu toka bara , Mzee Faki toka visiwani ni miongoni mwa wazee wengi katika maadhimisho haya ya wazee kupitia BARAZA LA WAZEE CHADEMA na wameahidi kukataa kuzeeka hadi katiba mpya ipatikane.
Salaam zinamiminika kutoka ndani na nje ya nchi kulipongeza Kongamano la Wazee ikiwemo toka spika wa Bunge la Wananchi kamanda Celestine Simba na John Henche waliopo nchini Italy kwa safari ya kikazi ya chama.
erythrocyte