Tangu lini serikali ya ccm ikaguswa na mambo ya kidunia ?Kumbe yameandaliwa na chama. Nilidhani ya kitaifa kwa maana ya kuandaliwa na serikali ya samia.
mbona odinga alifanya mengi tu na kenyata? hujawahi hata kupigwa kibao kwa ajili ya cdm ... kisha unaayukaSina hamu kabisa na Mbowe, ametuuza kwa ccm.
Tangu lini shetani akawa rafiki?
Mwafaka gani wa kisiasa na adui wa nchi?
Hana jipya lolote na muda siyo mrefu atafurushwa na wanachama Kama Mbatia maana wamemchoka hasa baada ya kutoelewa zinakokwenda Ruzuku na michango yote iliyokuwa Inapatikana
mbona odinga alifanya mengi tu na kenyata? hujawahi hata kupigwa kibao kwa ajili ya cdm ... kisha unaayuka




Media zote zitaripoti jambo hilo , njia pekee ya kutosikiliza jambo hilo ni kufa kabla ya tarehe husika , uko tayari kufa kabla ya tarehe 1/10/2022 ?
😂😂Abaki hai tu kwakweliMedia zote zitaripoti jambo hilo , njia pekee ya kutosikiliza jambo hilo ni kufa kabla ya tarehe husika , uko tayari kufa kabla ya tarehe 1/10/2022 ?
Mwamba analamba Asali Kwa Raha zakeMwamba wa siasa Nchini Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema , Freeman ametajwa hadharani kwamba atakuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yatakayofanyia Mjini Dodoma .
Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .
Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .
UPDATES
============
Hali ndio kama mnavyoiona wenyewe .
Makamu mwenyekiti wa Baraza la wadhamini , Maulida Komu akitoa neno
View attachment 2373789
Jenerali Ulimwengu akiingia ukumbini
View attachment 2373791
Wazee wakisubiri mwelekeo wa Dira ya Taifa kutoka kwa Mwamba Mwenyewe Ustaadh Aboubakar Mbowe
View attachment 2373793View attachment 2373794
mimi siyo chawaWewe jamaa unavo msifia mbowe.
Akuteue uwe hata makamu wake.
Mnawapa vyeo wachaga wakati mnajua ni wapigaji.acha mpigwe ss tunasubiri kuanzisha cha kwetu ambacho kitajali maslahi mapana ya wananchi.Hana jipya lolote na muda siyo mrefu atafurushwa na wanachama Kama Mbatia maana wamemchoka hasa baada ya kutoelewa zinakokwenda Ruzuku na michango yote iliyokuwa Inapatikana
Hana jipya lolote na muda siyo mrefu atafurushwa na wanachama Kama Mbatia maana wamemchoka hasa baada ya kutoelewa zinakokwenda Ruzuku na michango yote iliyokuwa Inapatikana

Mbona tunasikia wamefanya yao na kumsukumia PenslovanniaMwamba wa siasa Nchini Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema , Freeman ametajwa hadharani kwamba atakuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yatakayofanyia Mjini Dodoma .
Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .
Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .
UPDATES
============
Hali ndio kama mnavyoiona wenyewe .
Makamu mwenyekiti wa Baraza la wadhamini , Maulida Komu akitoa neno
View attachment 2373789
Jenerali Ulimwengu akiingia ukumbini
View attachment 2373791
Wazee wakisubiri mwelekeo wa Dira ya Taifa kutoka kwa Mwamba Mwenyewe Ustaadh Aboubakar Mbowe
View attachment 2373793View attachment 2373794
Kidunia
01 Oktoba 2022
Dodoma, Tanzania
Freeman Mbowe Mgeni Rasmi Siku ya Wazee Duniani
WAZEE WAJA NA KAULI MBIU YA MGOMO WA KUKATAA KUZEEKA HADI MABADILIKO YAPATANE
Zaidi ya watu milioni moja wanafuatilia live kongamano la wazee wa CHADEMA siku ya leo ya maadhimisho ya wazee duniani katika televisheni, mitandao na platform za media zote.
Wazee kutoka kanda zote kumi huku wazee maarufu kama muwezeshaji wa fikra-huru Jenerali Twaha Ulimwengu toka bara , Mzee Faki toka visiwani ni miongoni mwa wazee wengi katika maadhimisho haya ya wazee kupitia BARAZA LA WAZEE CHADEMA na wameahidi kukataa kuzeeka hadi katiba mpya ipatikane.
Salaam zinamiminika kutoka ndani na nje ya nchi kulipongeza Kongamano la Wazee ikiwemo toka spika wa Bunge la Wananchi kamanda Celestine Simba na John Henche waliopo nchini Italy kwa safari ya kikazi ya chama.
erythrocyte