Freeman Mbowe Mgeni Rasmi Siku ya Wazee Duniani

Freeman Mbowe Mgeni Rasmi Siku ya Wazee Duniani

Sasa unalia nini ?
Mimi siyo wa kiwango cha kulia we bwege. Namfahamu huyo m/kiti wenu nimekaa naye karibu siyo wewe wa kumsikia km ww poyoyo maisha yake ni kulalamika, kulaumu kila uongozi utakaoingia madarakani. Angependa sn nchi iingie kwenye machafuko. Kwa kuwa nchi yetu ni thabiti ndoto zake hazitatimia kamwe.
 
Media zote zitaripoti jambo hilo , njia pekee ya kutosikiliza jambo hilo ni kufa kabla ya tarehe husika , uko tayari kufa kabla ya tarehe 1/10/2022 ?
Hizi kauli zako za kejeli zitanifanya niunge mkono mapinduzi yanayotaka kufanyika
 
Mwenyekiti wako ana ushawishi Gani kutujengea vyoo Kwa pesa ya mkopo na tozo Kwa wakati mmoja???

UKWELI mnaujua hamna ridhaa ya wananchi, hata akisimama na Mnyika ktk Uchaguzi huru hatotoboa.
Mnyika huyu huyu aliyekosa ushawishii Hata kwa chama chake?
 
Pigania haki yako sio kutegemea mwanamme mwenzako akupiganie wakati wewe umefyata mkia wako
Sijui umeongea na makalio?
Unataka nifungue chama changu mwenyewe?
Chadema iko kisheria na ni chama cha umma kwa hiyo mimi kama mtaka mabadiliko ninawakilishwa na Mbowe ambaye amepewa dhamana na sisi wananchi kikatiba ya chama.
Na sasa naona anayumba.
 
Sijui umeongea na makalio?
Unataka nifungue chama changu mwenyewe?
Chadema iko kisheria na ni chama cha umma kwa hiyo mimi kama mtaka mabadiliko ninawakilishwa na Mbowe ambaye amepewa dhamana na sisi wananchi kikatiba ya chama.
Na sasa naona anayumba.
Kwa mfano unataka Mbowe afanyeje
 
Mwamba wa siasa Nchini Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema , Freeman ametajwa hadharani kwamba atakuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yatakayofanyia Mjini Dodoma .

Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .

Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .
Aaaamen
 
Sijui umeongea na makalio?
Unataka nifungue chama changu mwenyewe?
Chadema iko kisheria na ni chama cha umma kwa hiyo mimi kama mtaka mabadiliko ninawakilishwa na Mbowe ambaye amepewa dhamana na sisi wananchi kikatiba ya chama.
Na sasa naona anayumba.
Simple tu, hamia ACT au CCM kabisa.
 
Back
Top Bottom