Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,429
- 283,695
Mwamba wa siasa Nchini Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema , Freeman ametajwa hadharani kwamba atakuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yatakayofanyia Mjini Dodoma .
Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .
Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .
UPDATES
============
Hali ndio kama mnavyoiona wenyewe .
Makamu mwenyekiti wa Baraza la wadhamini , Maulida Komu akitoa neno
View attachment 2373789
Jenerali Ulimwengu akiingia ukumbini
View attachment 2373791
Wazee wakisubiri mwelekeo wa Dira ya Taifa kutoka kwa Mwamba Mwenyewe Ustaadh Aboubakar Mbowe
View attachment 2373793View attachment 2373794
Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .
Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .
UPDATES
============
Hali ndio kama mnavyoiona wenyewe .
Makamu mwenyekiti wa Baraza la wadhamini , Maulida Komu akitoa neno
View attachment 2373789
Jenerali Ulimwengu akiingia ukumbini
View attachment 2373791
Wazee wakisubiri mwelekeo wa Dira ya Taifa kutoka kwa Mwamba Mwenyewe Ustaadh Aboubakar Mbowe
View attachment 2373793View attachment 2373794