Freeman Mbowe, kwanini maridhiano sasa?

In politics muda bado Sana Kabla ya October 2020 kubadilisha mind za watanzania kuamini Nini mbowe anakisudia. Km approach yake itashindwa atarudi na muda Ni mwingi sn. Siasa za Tanzania Ni cheap Kwasababu ya kuwa na mtaji mkubwa wa wananchi ambao hawana elimu ya uraia, kuwashawishi haihitaji nguvu Sana.
 
Hujitambui Hadi Sasa? Ninyi mapanyabuku ya lumumba hakika hampendi amani na mnaomba kila dk, ipitayo kisanuke mpore kilichobakia! Bado mpo na akili za kale Sana huku mkiea hamjui dhima halisi ya kucompromise badala ya confrontation mnayoililia itokee!
Magu, shtuka! Hao ccm wenzako hawana Nia njema na amani ya nchi!
 
Mkuu kama umeusoma uzi wangu nimeligusia hilo na nimeepeza pia wasiwasi wangu kwamba Kama mkandamizaji ana chuki binafsi alitaka kukukomoa sawa anaweza kuingia kwa maridhiano lau si hivyo hawezi acha kwakua lake halijatimia.

Uko sahihi kabisa. Lakini nchi siyo mali ya mtu mmoja wala kikundi kidogo cha watu. Ushindani wa kisiasa unayo misingi yake iliyokubalika duniani kote. Tangu nchi hii iingie kwenye mfumo wa vyama vingi imekuwa ikijaribu kuheshimu misingi hiyo na ndiyo maana idadi ya wawakilishi kutoka upinzani imekuwa ikiongezeka kila uchaguzi unapofanyika. Mtu anayekerwa na hali hiyo hafai kuwa kiongozi. Kama kwa bahati mbaya amepata uongozi lazima utafika wakati ataambiwa kuwa huo mchezo wake mbaya ni mauti kwa taifa na haukubaliki. Nadhani uchaguzi wa serikali za mitaa umetufikisha hapo.
 
Nchi ilibomoka wakati Mbowe juzi ameziba nyufa zote zilisababishwa na Magufuli... Magufuli anawaangalia tu kwenye tv mlivyojichanganya.
 
Wakutafuta maridhiano alikuwa ni Magufuli alievuruga mfumo wa uchaguzi.
 
Sexless, Miguna miguna yuko Canada alijaribu kurudi Kenya akaishia uwanja wa Ndege kwa kubebwa mzobemzobe.

wakati Odinga akigongeana glass na Kenyata.

Lissu Juzi amejaribu kurudi, baada ya kufika Kenya akaona upepo unasoma vibaya akageuzia huko huko.

Huku Mbowe akifanya maridhiano na Serikali ya CCM.
 
Watanzania tufanye kazi kwa manufaa ya familia zetu, we are too young to deal with this dirty games ( politics)..

Hakuna wanasiasa hapa tuna watu njaa wapo kwa maslahi yao na familia zao..

RIP Mawazo, RIP Wangwe nk,Pole sana LISSU hamkujua masikini mmevamia michezo msioijua undani wake dah inasikitisha sana maana mngalijua mngekuwa mnafanya kazi zenu na familia zenu zingeenjoy maisha..

Narudia tena, Watanzania fanyeni kazi achaneni na hawa watu aka wachezaji wa hizi dirty games maana wapo kwa ajili circles zao na si vinginevyo..
 
Wakutafuta maridhiano alikuwa ni Magufuli alievuruga mfumo wa uchaguzi.
Naheshimu mawazo yako.
Nafikiri kuna wakati busara ni kuangalia mpinzani wako ni mtu wa aina gani.
Kama wewe unaumizwa na hali ya mpasuko na unawapenda watu wako basi una 'sacrifice your ego' na kujaribu kumbadili msimamo mshindani wako kwa kujishusha..
Wakati flani humility huweza kumfanya mshindani wako alainike kiasi cha kukupa zaidi ya kile ulicho kuwa unadai.

Uongozi ni kitu kigumu sana, na mzigo mzito. Ukiweka mashindano kila wakati sababu ya pride au self esteem ni hatari.
 
Nimeuliza swali; maridhiano kuhusu nini? Unataka kitu ambacho huwezi kukielezea?
 
Kaka kuonewa nionewe Mimi na MARIDHIANO niombe Mimi, unajua maana yake mkuu UMENISHINDA unaweka nukta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"hivi hamjaelewa tu kwamba mambo yamebadilika"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu fanyeni hata tafiti kidogo ndipo mtagundua appearance ya KUB kwenye sherehe za uhuru ni maazimio yaliyopitishwa na kamati kuu ya Chadema na sio maamuzi binafsi ya Kamanda Mbowe na taarifa ya kamati kuu ipo ilisambazwa.
Zijazungumzia Aikael kama mtoto wa Mbowe nimezungumzia Aikael Mwenyekiti wa Chama kikuu cha UPINZANI Ndegelec.

CCM wakivurunda Magufuli kama Mwenyekiti wa Chama hawezi kimbia lawama, hivyo sasa rudi kwenye hoja ya msingi FREEMAN MBOWE KWANINI SASA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…