Aureus Ndimbo
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 211
- 95
Hujitambui Hadi Sasa? Ninyi mapanyabuku ya lumumba hakika hampendi amani na mnaomba kila dk, ipitayo kisanuke mpore kilichobakia! Bado mpo na akili za kale Sana huku mkiea hamjui dhima halisi ya kucompromise badala ya confrontation mnayoililia itokee!Maridhiano juu ya nini? Sema Chadema imenyoosha mikono. Imeushindwa muziki wa Jiwe sasa wanaomba poo kiaina, eti maridhiano. Na vijana wa Chadema mliojana humu mmeshupalia maridhiano, maridhiano! Yapi? Ninyi si mna msemo "mpaka kieleweke"? Vipi sasa kubembeleza maeidhiano!!!?
Mkuu kama umeusoma uzi wangu nimeligusia hilo na nimeepeza pia wasiwasi wangu kwamba Kama mkandamizaji ana chuki binafsi alitaka kukukomoa sawa anaweza kuingia kwa maridhiano lau si hivyo hawezi acha kwakua lake halijatimia.
Nchi ilibomoka wakati Mbowe juzi ameziba nyufa zote zilisababishwa na Magufuli... Magufuli anawaangalia tu kwenye tv mlivyojichanganya.Ni bahati mbaya sana watu hawajadili hoja iliyotolewa na Chadema (kupitia mdomo wa Mbowe) na wanamjadili Mbowe kama vile hoja ile ni yake katika nayo nyumbani au anatabia kama za Magufuli kutoa kauli za kisera tokea kichwani mwake bila ridhaa ya chama.
Nchi kwa wale walioitembelea na kuifahamu vyema ni kuwa imekwisha bomoka bado kidogo tuu migogoro chungu nzima itaibuka kila upande hasa baada ya uchaguzi wa SM.
Watu waliochomekewa viongozi huko vijijini wana uelewa na kimeanza kuwaka maeneo mbalimbali kuwakataa.View attachment 1287773
Wakutafuta maridhiano alikuwa ni Magufuli alievuruga mfumo wa uchaguzi.Mkuu umeongea vema.
Mbowe na wanao mpondea hili wazo lake la maridhiano nawafananisha Luther King Jr na Malcolm X.
Mbowe ni kama Luther King Jr na wakosoaji wake ni kundi la Malcolm X.
Wakati fulani lazima utumie njia za kidiplomasia zaidi kulingana na mazingira ya vita na aina ya adui wako na nyenzo zake.
Nasimama na Mbowe, maridhiano sio kushindwa vita.
Mkiona upepo umekaa vibaya mnasema ni Kamati Kuu, Lingekuwa jambo la msingi sifa zote zingeenda kwa Mbowe .Lile halikuwa swala la mbowe Bali kamati kuu ya chama chao.
katika yote haya SIO ZITTO ALIYEFANYA!!! Zitto angefanya haya na ACT, CDM yote wangemgeujia na kusema ''unaona??""
Naheshimu mawazo yako.Wakutafuta maridhiano alikuwa ni Magufuli alievuruga mfumo wa uchaguzi.
Nimeuliza swali; maridhiano kuhusu nini? Unataka kitu ambacho huwezi kukielezea?Hujitambui Hadi Sasa? Ninyi mapanyabuku ya lumumba hakika hampendi amani na mnaomba kila dk, ipitayo kisanuke mpore kilichobakia! Bado mpo na akili za kale Sana huku mkiea hamjui dhima halisi ya kucompromise badala ya confrontation mnayoililia itokee!
Magu, shtuka! Hao ccm wenzako hawana Nia njema na amani ya nchi!
Kuhusu Hali ya kisiasa nchini! Umewelewa sasa wewe? Siku nyingine uwe unauliza maswali yenye maana.Nimeuliza swali; maridhiano kuhusu nini? Unataka kitu ambacho huwezi kukielezea?
Hali ya kisiasa ipi kilaza? Mbona unaogopa kuelezea? Eleza mtu akuelewe!Kuhusu Hali ya kisiasa nchini! Umewelewa sasa wewe kiranja wa wapumbavu? Siku nyingine uwe unauliza maswali yenye maana.
Kaka kuonewa nionewe Mimi na MARIDHIANO niombe Mimi, unajua maana yake mkuu UMENISHINDA unaweka nukta.Usipotoshe nia nzuri ya Mbowe
Maridhiano ndiyo njia pekee ya kistaarabu kufikia maelewano
Ngoja nikuulize swali dogo tu, hivi kina Mandela walifkia maridhiano Afrika Kusini, kuna mtu alilaumu uamuzi huo??
Hivi Uhuru Kenyatta wa Kenya kufanya maridhiano na Odinga, kuna watu wanalaumu??
Unapoweka nchi mbele zaidi ya ubinafsi, unaweza ukafikia maridhiano, lakini unaooweka ubinafsi mbele ni lazima hutapendekeza yafikiwe maridhiano
Kwa hiyo wapinzani wa nchi hii wanalazimika kumpongeza Mbowe, kwa kuamwambia Rais Magufuli kuwa wao upinzani wako tayari kwa maridhiano..........
Kwa hiyo kazi kwake yeye Rais Magufuli, kama ataweka mbele.maslahi ya Taifa, ataridhia ombi hilo la Mbowe na kama ataweka mbele maslahi binafsi yake yeye mwenyewe binafsi, atayakataa
Sikumbuki kama kuna paragraph yoyote nimezungumzia UPEO hebu niache tafadhaliKwanza unatakiwa ujijue kuwa huna upeo. Achana na tabia yako hii ya kujaza server na kuchosha watu humu.
"hivi hamjaelewa tu kwamba mambo yamebadilika"Unajua kabla Miguna Miguna hajawa kambi ya Raila ule uchaguzi ambao Raila alikuwa anashiriki kama waziri mkuu mstaafu Miguna alikuwa anamchukilia vipi? Emb fuatilia kisha ujue tofauti zilizopo.."Come baby come..I have all things right here..." Unajua huo msemo ulitoka wapi? Uwe unafuatilia kwanza kabla ya kulipuka!
Zijazungumzia Aikael kama mtoto wa Mbowe nimezungumzia Aikael Mwenyekiti wa Chama kikuu cha UPINZANI Ndegelec.Hebu fanyeni hata tafiti kidogo ndipo mtagundua appearance ya KUB kwenye sherehe za uhuru ni maazimio yaliyopitishwa na kamati kuu ya Chadema na sio maamuzi binafsi ya Kamanda Mbowe na taarifa ya kamati kuu ipo ilisambazwa.