Analogia Malenga
Platinum Member
- Feb 24, 2012
- 5,292
- 10,842
Neno maridhiano limeshika kasi kwa siku za hivi karibuni. Lakini mjadala upo zaidi kwa CHADEMA. Maswali niliyonayo ni nini kilitokea?
Chadema hawakushiriki uchaguzi, je watafanya maridhiano gani kama sio kuyafuata waliyohahitaji kabla ya uchaguzi?
Lakini kama maridhiano ni matokeo ya kilichotokea Octoba 2025, ni nani aliathirika? CHADEMA au wananchi? Je wananchi ni CHADEMA?
Moja ya point yangu ni kuwa kama tunaenda kwenye Maridhiano kwa kichotokea Oktoba kuna haja ya kuchukua watu ambao wana influence kwa wananchi lakini hawana ukaribu na chama cha siasa.
Lakini kama maridhiano ni ya kuingia kwenye uchaguzi bila CHADEMA basi ni kweli chadema ni wa kuangaliwa kwa uzuri. Hata hivyo kuona CHADEMA kama key katika hili ni kunasibisha na kilichotokea kuwa kilikuwa cha Chadema.
Naishia hapo.
Chadema hawakushiriki uchaguzi, je watafanya maridhiano gani kama sio kuyafuata waliyohahitaji kabla ya uchaguzi?
Lakini kama maridhiano ni matokeo ya kilichotokea Octoba 2025, ni nani aliathirika? CHADEMA au wananchi? Je wananchi ni CHADEMA?
Moja ya point yangu ni kuwa kama tunaenda kwenye Maridhiano kwa kichotokea Oktoba kuna haja ya kuchukua watu ambao wana influence kwa wananchi lakini hawana ukaribu na chama cha siasa.
Lakini kama maridhiano ni ya kuingia kwenye uchaguzi bila CHADEMA basi ni kweli chadema ni wa kuangaliwa kwa uzuri. Hata hivyo kuona CHADEMA kama key katika hili ni kunasibisha na kilichotokea kuwa kilikuwa cha Chadema.
Naishia hapo.