Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

Hilo linajulikana. Salumu Mwalimu alipoulizwa juu ya Mbowe, alisema kwamba Mbowe ni mwenyekiti wake na ataendelea kuwa mwenyekiti wake. Hofu yangu ni mzee wa Ubwabwa. Awe makini sana wasije wakampumzisha kwa amani, kwa maana jamaa wana uchu wa madaraka.
 
Wanaukumbi.

Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA.

Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi.

Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa mnawashwa nini na mambo ya vyama vya watu wengine?
View attachment 3428057
Nataka nikupinge nikakumbuka nilipinga Makonda hawezi kuteuliwa kwa mabaya aliyofanya kipindi cha Magufuli. Naomba tusubiri ahame ndio tuchambue na si kuzusha mambo.
 
Wanaukumbi.

Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA.

Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi.

Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa mnawashwa nini na mambo ya vyama vya watu wengine?
View attachment 3428057
Aende kwani ana faida gani?
 
Wanaukumbi.

Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA.

Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi.

Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa mnawashwa nini na mambo ya vyama vya watu wengine?
View attachment 3428057

Nani kamzuia🤦🏾‍♂️😂 mbona unajisemesha mwenyewe
 
Mheshimiwa Dr Mboe karibu sana CHAUMMA tule ubwabwa huku tukimnadi mgombea wetu Dr Mwalimu. Ubwabwa safiii.
** Ikibidi zili bilioni nunua nyumba nyingine hata tatu DUBAI. Game haielewek i hii wasije kukufilisi kama ile klabu yako
 
Mheshimiwa Dr Mboe karibu sana CHAUMMA tule ubwabwa huku tukimnadi mgombea wetu Dr Mwalimu. Ubwabwa safiii.
** Ikibidi zili bilioni nunua nyumba nyingine hata tatu DUBAI. Game haielewek i hii wasije kukufilisi kama ile klabu yako
Mbowe ni mfanyabiashara
 
Mheshimiwa Dr Mboe karibu sana CHAUMMA tule ubwabwa huku tukimnadi mgombea wetu Dr Mwalimu. Ubwabwa safiii.
** Ikibidi zili bilioni nunua nyumba nyingine hata tatu DUBAI. Game haielewek i hii wasije kukufilisi kama ile klabu yako
Hii Dr. Mboe ni ya wapi? Mjomba wako? Mbona haijulikani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom