Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

Hawezi, akifanya hivyo, maana atakuwa ni mwanasiasa wa HOVYO kupata kutokea hapa Tanganyika.
Anaenda halafu dipipii anamuachilia Lisu na Chadema inaingia uchaguzini

Halafu CCM inapita katikati yao 🐼
 
Wanaukumbi.

Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA.

Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi.

Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa mnawashwa nini na mambo ya vyama vya watu wengine?
Naona umeileta hii ili ionekane unajua taarifa za ndani. Mbowe yuko Chauma toka siku ameukosa uenyekiti wa cdm. Hapa ulichofanya ni sawa na kusema unatabiri jua kesho litatoka mashariki kwenda magharibi.
 
Aende, ndo democracy na Tz, tumbo kwanza. Ndio maana ccm hata wabunge wana teuliwa na Mwenyekiti wa ccm ili alinde Ugali wake, uliona wapi mwakilishi wa wananchi ana jaza form na kwenda kupitishwa na Rais? Ndio maana ni wabunge lakini hawana uhuru.

Ndio maana tuna hitaji mabadiliko, yaani tubadili mfumo mzima na taratibu za siasa nchini, kwahiyo Chadema inawapigania wana ccm na vyama vingine vyote ili vijikomboe kutoka katika mgumo dhalimu wa watu wachache.
 
Chadema bana mnajipa umuhimu wa kuamua jinsi ya kufikiri kwa watu,kuwaza kwao, kumuunga mkono nani na kwa nini! Yaani CHADEMA hawa waliokuwa wanamuimba Lowassa ni fisadi kwa miaka zaidi ya kumi waligeuka na kusema ni mtu safi sana mwaka 2015 na kuwataka watanzania na nyumbu wao wampigie kura!Na kwa kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kwenye hilo na waliweza kushika akili nyumbu wengi sana.
Huna akili kweli wewe, yaani mtu aliyekuwa anaongoza chama chenye wanachama zaidi ya milioni 10 leo akaonoze kikundi cha watu wasiozidi 100 unaona hiyo ni busara?
 
Chadema bana mnajipa umuhimu wa kuamua jinsi ya kufikiri kwa watu,kuwaza kwao, kumuunga mkono nani na kwa nini! Yaani CHADEMA hawa waliokuwa wanamuimba Lowassa ni fisadi kwa miaka zaidi ya kumi waligeuka na kusema ni mtu safi sana mwaka 2015 na kuwataka watanzania na nyumbu wao wampigie kura!Na kwa kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kwenye hilo na waliweza kushika akili nyumbu wengi sana.
HAKUNA CHAMA KISAFI..SIASA NI UTAPELI KAMA UTAPELI MWINGINE..
 
Wanaukumbi.

Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA.

Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi.

Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa mnawashwa nini na mambo ya vyama vya watu wengine?
Tatizo tunamdai kwa kutupotezea mda wetu
 
He can't say..... I don't do politics, because silence is a political statement...😶
 
Wanaukumbi.

Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA.

Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi.

Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa mnawashwa nini na mambo ya vyama vya watu wengine?
View attachment 3428057
..Nani aliyekusmbia CHADEMA kuwa Wanamtuka Mbowe amehamia CHAUMMA wakati wewe ndio Umeleta tetrsi za kuhamia kwake CHAUMMA? Wewe uko CHAUMMA ee? Hujiamini
Tuko Bize na No Reforms No Election.
Nyii Kali deni Kura !!....
 
Chadema bana mnajipa umuhimu wa kuamua jinsi ya kufikiri kwa watu,kuwaza kwao, kumuunga mkono nani na kwa nini! Yaani CHADEMA hawa waliokuwa wanamuimba Lowassa ni fisadi kwa miaka zaidi ya kumi waligeuka na kusema ni mtu safi sana mwaka 2015 na kuwataka watanzania na nyumbu wao wampigie kura!Na kwa kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kwenye hilo na waliweza kushika akili nyumbu wengi sana.
Jiulize baada ya Lowasa kuingia chadema Dr Silaa alienda wapi?
Mbowe sio mpinzani wa kweli! Ni mpiga hela tu!
 
Siwezi kuamini wana siasa wa nchi hi hata siku moja.
Sio wa Nchi hii tu, Wanasiasa wote mtaji wao ni Siasa na Siasa "Platform Vehicle" yake ni vyama. Rejea Kenya akina Kilonzo Musyoka na Mudavadi leo unamsikia yupo huku kesho kule. Hapa kwetu hatujazoea hayo kwa kuwa ndani ya vyama hawaparuani sana hivyo kunakuwepo na longetivity ya kuwemo ndani ya vyama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom