Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
54,432
Reaction score
43,771
Wanaukumbi.

Taarifa za ndani zinaweka wazi kuwa Mbowe ameamua kujinga na CHAUMMA.

Mbowe kwenda CHAUMMA.. kwanini wafuasi wa Chadema hawataki na wanamshambulia mbona Lissu, alikuwa NCCR Mageuzi au? Tatizo lipo waoi.

Pambaneni kuzuia uchaguzi si mlisema mwaka huu hakuna uchaguzi sasa mnawashwa nini na mambo ya vyama vya watu wengine?
 
Aende CHADEMA ni chama Kikuu Cha Upinzani.


Hamna namna yoyote ya kuidanganya Dunia
 
Kutoka Chadema kwenda Chaummwa, bora aende VETA tu sasa
 
Kutoka Chadema kwenda Chaummwa, bora aende VETA tu sasa
Chadema bana mnajipa umuhimu wa kuamua jinsi ya kufikiri kwa watu,kuwaza kwao, kumuunga mkono nani na kwa nini! Yaani CHADEMA hawa waliokuwa wanamuimba Lowassa ni fisadi kwa miaka zaidi ya kumi waligeuka na kusema ni mtu safi sana mwaka 2015 na kuwataka watanzania na nyumbu wao wampigie kura!Na kwa kweli walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kwenye hilo na waliweza kushika akili nyumbu wengi sana.
 
Hence the end justifies the meaning
 
Mh. Mbowe ajifunze kwa Ndugai. Ukiona anavyozomewa, anatia huruma. Mbowe asitakate kufika hatua hiyo, atajidhalilisha sana.
Ni kweli kuna watu wanataka kutembelea nyota yake wakiamini wataaminika kwa wananchi na kupewa Ubunge.
 
iko X hivyo ipe uzito kidogo
 
Aende tu it's a free country...

 
Uzuri hata akigombea urais CHAUMA hatapewa huo Urais!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…