===Mwenyekiti Taifa amepanda jukwaani na ameanza kusema yafuatayo=========
1. Sukuma land imebarikiwa rasilimali nyingi lakini badp watu wake nimaskini.
2. Alitolea mfano wa almasi ya Mwadui ambayo imechimbwa miaka mingi lakinibado haiwanufaishi wananchi.
3. Kwa sasa Itilima na Bariadi zina takribani watu laki 7 na nusu lakiniukiuliza kuna shuke ngapi za Sekondari utapata aibu tupu.
Kwa matatizo haya yote bado mliichagua CCM mwaka 2010. Tunahitaji kufanyamabadiliko makubwa mwaka huu 2015.
Mwenyekiti aligusia matatizo ya zao la Pamba na kuwakumbusha wananchi kuwaKambi Rasmi ya Upinzani anayoiongoza walisemea kuhusu mbegu feki iliyosambazwakatika msimu uliopita ambayo ilisababisha hasara kubwa kwa wananchi. Serikaliilikubali kuwalipa wananchi fidia lakini mpaka leo hilo halijatekelezwa.
Aliongeza kuwa amepata taarifa kuwa wananchi wanauza pamba kwa mkopo na kwabei rahisi, hilo halitakubalika. Ni lazima kama Chama watachukua hatua kuzuiahilo.
Mwenyekiti aligusia suala la elimu na kuwaambiakuwa Serikali ya CCM imeharibu mfumo wa elimu. Unazaliwa Bariadi, unakuliaBariadi, unaoa Bariadi na unafia Bariadi. Hii ni tofauti na mfumo wa zamani waMwl Nyerere.
====More===
Alitolea mfano Jimbo lake ambapo ana Vijiji 64, na vijiji vyote 64 vina maji safi na salama. Akasema katika vijiji 64 anazo shule za sekondari 72. Akawataka wananchi kufanya mabadiliko makubwa ya kiutawala kwenye uchaguzi mkuu ili kuleta mabadiliko
Mfumo wetu elimu ni umeharibiwa ndio maana tunazidiwa na Kenya. Hata Rwanda ambayo waliuana wenyewe kwa wenyewe leo wana mfumo bora wa elimu kuliko sisi.