Freeman Mbowe atetemesha Itilima-Simiyu

Freeman Mbowe atetemesha Itilima-Simiyu

===Mwenyekiti Taifa amepanda jukwaani na ameanza kusema yafuatayo=========
attachment.php


1. Sukuma land imebarikiwa rasilimali nyingi lakini badp watu wake nimaskini.
2. Alitolea mfano wa almasi ya Mwadui ambayo imechimbwa miaka mingi lakinibado haiwanufaishi wananchi.
3. Kwa sasa Itilima na Bariadi zina takribani watu laki 7 na nusu lakiniukiuliza kuna shuke ngapi za Sekondari utapata aibu tupu.
Kwa matatizo haya yote bado mliichagua CCM mwaka 2010. Tunahitaji kufanyamabadiliko makubwa mwaka huu 2015.


Mwenyekiti aligusia matatizo ya zao la Pamba na kuwakumbusha wananchi kuwaKambi Rasmi ya Upinzani anayoiongoza walisemea kuhusu mbegu feki iliyosambazwakatika msimu uliopita ambayo ilisababisha hasara kubwa kwa wananchi. Serikaliilikubali kuwalipa wananchi fidia lakini mpaka leo hilo halijatekelezwa.

Aliongeza kuwa amepata taarifa kuwa wananchi wanauza pamba kwa mkopo na kwabei rahisi, hilo halitakubalika. Ni lazima kama Chama watachukua hatua kuzuiahilo.

Mwenyekiti aligusia suala la elimu na kuwaambiakuwa Serikali ya CCM imeharibu mfumo wa elimu. Unazaliwa Bariadi, unakuliaBariadi, unaoa Bariadi na unafia Bariadi. Hii ni tofauti na mfumo wa zamani waMwl Nyerere.

====More===
Alitolea mfano Jimbo lake ambapo ana Vijiji 64, na vijiji vyote 64 vina maji safi na salama. Akasema katika vijiji 64 anazo shule za sekondari 72. Akawataka wananchi kufanya mabadiliko makubwa ya kiutawala kwenye uchaguzi mkuu ili kuleta mabadiliko


Mfumo wetu elimu ni umeharibiwa ndio maana tunazidiwa na Kenya. Hata Rwanda ambayo waliuana wenyewe kwa wenyewe leo wana mfumo bora wa elimu kuliko sisi.

Naomba wale wazee wa Jukwaa la Great thinker waje watutofautishie Hotuba hii na ile ya Zitto wanayosema aliitoa kwa Lengo la kuwagawa watanzani.Ukweli lazima usemwe haijalishi amesema nani.
Huku sio kuligawa Taifa?
Au ni yale ya bata na kuku?
 
Raha zaidi ni kwamba huu mkutano uko kijijini na sio mjini , sowale waliokuwawanasema CHADEMA iendevijijini ,imeenda sasa tangu jana Mbowe yuko vijijini na sio makao makuu ya Jimbo ama Wilaya ......

na mfumo huu ndo kaburi la ccm.. uzuri wa mbowe ni mbunifu..
 
Chadema mlianza na shetani mtamaliza naye tu.

Endelea na hallucinations zako, sie tunaendelea kuwakomboa watanzania wenzetu. Mtu kama wewe is the reason why our country is lagging behind in socio-economic progress despite all the natural resources we are blessed with. Shame on you!
 
sana kamanda alex nafalijika sana kuonaukipambania watanzania. nilidhani ni msm tu ndio iko moyoni kwako. kumbe nitaifa zima. pamoja sana uku pia tupo pamoja.
 
Mbowe licha ya kuwa mwanasiasa pia ni Dj mzuri sana hasa kwenye non stop music
 
==Mwisho===
attachment.php

attachment.php

Mwenyekiti alisema kuwa zamani walikuwa wanaomba watu kujitokeza kugombea kupitia Chadema lakini mpaka sasa Chama kina watia noa 17 katika Jimbo la Itilima. Mwenyekiti aliwaasa watia nia kutowagawa wananchi pale ambapo wengine watakosa nafasi ya kuteuliwa.


Mwenyekiti amewapa nafasi watia nia wote waliopo mkutanoni kujitambulisha na kuwasalimia wananchi ila wawafahamu.
Mwenyekiti alisema Chadema wanatarajia kuwa na wabunge, si wabunge wengi tu bali wabunge bora.
Mwenyekiti aliwasimamisha pia watia nia wa Udiwani katika Kata zote 22. Ambao Jumla ya watia nia ni zaidi 90. Kutokana na muda alishindwa kuwapa nafasi ya kusalimia na kujitambulisha. Aliwataka wakichaguliwa mwaka huu kulinda rasilimali za nchi vizuri ikiwemo matumizi mazuro ya fedha.
Mkutano Umemalizika hapa na watu wameondoka wakiwa na shauku na hamasa isiyo ya kawaida.
Mkutano uko mwishoni na dalili sa Mvua zimeanza….Kesho MWenyekiti atakuwa Ukerewe kaeni mkao wa kula kwa updates, Lazima tuonyeshe tofauti…

Nawashukuru sana wote mliokuwa hapa Japo Jukwaani,Japo kuna tatizo la network huku ila tumejitahidi sana kusammmarize.
Mungu Awabariki wote…Peopleeeees…….Natumaini Umejibu Poweeeeeeeeeer.

Nikiriport Moja kwa Moja kutoka Simiyu Ni Mimi Kamanda wenu Standalone
 

Attachments

  • IMG-20150423-WA0069.jpg
    IMG-20150423-WA0069.jpg
    169.1 KB · Views: 6,129
  • IMG-20150423-WA0070.jpg
    IMG-20150423-WA0070.jpg
    111.7 KB · Views: 5,637
==More===
Mwenyekiti alisema kuwa zamani walikuwa wanaomba watu kujitokeza kugombea kupitia Chadema lakini mpaka sasa Chama kina watia noa 17 katika Jimbo la Itilima. Mwenyekiti aliwaasa watia nia kutowagawa wananchi pale ambapo wengine watakosa nafasi ya kuteuliwa.


Mwenyekiti amewapa nafasi watia nia wote waliopo mkutanoni kujitambulisha na kuwasalimia wananchi ila wawafahamu.
Mwenyekiti alisema Chadema wanatarajia kuwa na wabunge, si wabunge wengi tu bali wabunge bora.
Mwenyekiti aliwasimamisha pia watia nia wa Udiwani katika Kata zote 22. Ambao Jumla ya watia nia ni zaidi 90. Kutokana na muda alishindwa kuwapa nafasi ya kusalimia na kujitambulisha. Aliwataka wakichaguliwa mwaka huu kulinda rasilimali za nchi vizuri ikiwemo matumizi mazuro ya fedha.
Mkutano Umemalizika hapa na watu wameondoka wakiwa na shauku na hamasa isiyo ya kawaida.
Mkutano uko mwishoni na dalili sa Mvua zimeanza….Kesho MWenyekiti atakuwa Ukerewe kaeni mkao wa kula kwa updates, Lazima tuonyeshe tofauti…

Nawashukuru sana wote mliokuwa hapa Japo Jukwaani,Japo kuna tatizo la network huku ila tumejitahidi sana kusammmarize.
Mungu Awabariki wote…Peopleeeees…….Natumaini Umejibu Poweeeeeeeeeer.

Nikiriport Moja kwa Moja kutoka Simiyi Ni Mimi Kamanda wenu Standalone

Mkuu tunakushukuru sana kwa live update ambazo ziko summarized, thank you kamanda Standalone

wana-Ukerewe na watanzania wote kwa ujumla tupo mkao wa kumsubiri kamanda wa anga, Mbowe kesho. Tuna hamu ya kusikia neno la ukombozi kutoka kwake, tumechoka na mfumo wa kinyonyaji wa CCM, tumeichoka serikali dhaifu na ya kifisadi ya CCM. Tupo tayari kwa mabadiliko na hayo tunayaona tutapata kutoka CHADEMA

Peopleeeeeeeez!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tunakushukuru sana kwa live update ambazo ziko summarized, thank you kamanda Standalone

wana-Ukerewe na watanzania wote kwa ujumla tupo mkao wa kumsubiri kamanda wa anga, Mbowe kesho. Tuna hamu ya kusikia neno la ukombozi kutoka kwake, tumechoka na mfumo wa kinyonyaji wa CCM, tumeichoka serikali dhaifu na ya kifisadi ya CCM. Tupo tayari kwa mabadiliko na hayo tunayaona tutapata kutoka CHADEMA

Peopleeeeeeeez!
Nikifika Ukerewe tutawasiliana Kamanda wangu,,,Walau baada ya mkutano Tule sangara wa kuchoma.
 
Standalone KAMANDA UBARIKIWE SANA, UMEJITAHIDI KUTUPA LIVE COVERAGE KAMA VILE WOTE TULIKUWEPO UWANJANI, MUNGU AKUZIDISHIE MARA DUFU, NATUMAINI UMATI WOOTE HUO UKIJIANDIKISHA NA KUPIGA KURA NA KULINDA KURA ZA UKAWA,,,,, BASI KUANZIA SA 10 JIONI TAREH 31 OKTOBA ZITAKUWA NI SHANGWE NCHI NZIMA.... TUKUTANE OKTOBA UOTE=Standalone;12538200]
attachment.php
attachment.php
[/QUOTE]
 
Kamanda Mboye piga kaz ya Mungu ya kuwakomboa Watanzia kwenye dimbwi la umasikin hali yakuwa nchi yao unautajiri wa kutupwa. Piga kaz kamanda wangu wa Anga,

Chadema chama cha kijasiri, songeni mbele wapiganaji mpaka kieleweke
 
Mkuu tunakushukuru sana kwa live update ambazo ziko summarized, thank you kamanda Standalone

wana-Ukerewe na watanzania wote kwa ujumla tupo mkao wa kumsubiri kamanda wa anga, Mbowe kesho. Tuna hamu ya kusikia neno la ukombozi kutoka kwake, tumechoka na mfumo wa kinyonyaji wa CCM, tumeichoka serikali dhaifu na ya kifisadi ya CCM. Tupo tayari kwa mabadiliko na hayo tunayaona tutapata kutoka CHADEMA

Peopleeeeeeeez!

Umeongea maneno mazito sana Kamanda Rahim Ahmed
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom