yasin Gahoile
Senior Member
- Apr 4, 2014
- 119
- 20
picha gan mkutano umejaa wanafunz tuStandalone
Ccm wakiona hizi picha wanachanganyikiwa kabisa.
Last edited by a moderator:
picha gan mkutano umejaa wanafunz tuStandalone
Ccm wakiona hizi picha wanachanganyikiwa kabisa.
MUngu ampe Afya tele .ukombozi uko njiani na tukae tayari
Mwanaume aliyekosa kupita Jando anajulikana kwa Mengi
Hao ndio wanyantuzu miaka yote ccm hawana chao miaka yote hapo. cheyo nae kajiloga mwenyewe hawez rudi bungen tena.
Mbowe licha ya kuwa mwanasiasa pia ni Dj mzuri sana hasa kwenye non stop music
Mkuu sisi tunaongea mambo ya nje na siasa sasa kipi kibaya hapo?? Mbowe siyo Dj??
Namafananisha Zitto na Daud na Mbowe na Goliath!
Namafananisha Zitto na Daud na Mbowe na Goliath![/QUOTE
Magamba Wameshaanza kuweweseka.. Hahahahaha
Kamanda Mbowe endelea kusambaza upendo njia nyeupe kwa Ukawa kuingia ikulu.
Namafananisha Zitto na Daud na Mbowe na Goliath!