Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
mbona wamejaa wanafunzi
Chama pekee chenye uwezo wa kuwaamuru watumishi wa umma kama walimu kufunga madarasa na kuwaamuru wanafunzi waende kwenye mikutano ni ccm
mbona wamejaa wanafunzi
Namafananisha Zitto na Daud na Mbowe na Goliath!
Yule anayetembea na fisi?
Tunakwenda Nchi Ya Kanani, Yenye Maziwa Na Asali, Daa Lahasana.
Mbowe ni kiongozi makini na mbunifu Saaana. Kupitia MBOWE Ukawa wanachukua dola OctoberMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe leo ameendelea na ziara yake kwa kuingia kwa kishindo wilayani Itilima mkoa wa Simiyu akitokea mkoa wa Tabora alikohutubia halaiki ya watu Nzega hapo jana.
Mara baada ya kuingia wilayani Itilima Kiongozi huyo wa Kambi Rasmi ya upinzani bungeni amelakiwa na msururu wa magari,pikipiki na baiskeli huku wananchi wakijipanga kandokando ya barabara na kupeperusha majani ya miti.
Kwa sasa Mwenyekiti huyo wa Ukawa anahutubia umati mkubwa wa watu katika kijiji cha Legangabilili wilayani humo
Tunaungana na Kamanda Standalone aliyeko kwenye msafara wa Mwenyekiti kutuletea Live updates..
Karibuni...
Namafananisha Zitto na Daud na Mbowe na Goliath!
===Mwenyekiti Taifa amepanda jukwaani na ameanza kusema yafuatayo=========![]()
![]()
1. Sukuma land imebarikiwa rasilimali nyingi lakini badp watu wake nimaskini.
2. Alitolea mfano wa almasi ya Mwadui ambayo imechimbwa miaka mingi lakinibado haiwanufaishi wananchi.
3. Kwa sasa Itilima na Bariadi zina takribani watu laki 7 na nusu lakiniukiuliza kuna shuke ngapi za Sekondari utapata aibu tupu.
Kwa matatizo haya yote bado mliichagua CCM mwaka 2010. Tunahitaji kufanyamabadiliko makubwa mwaka huu 2015.
Mwenyekiti aligusia matatizo ya zao la Pamba na kuwakumbusha wananchi kuwaKambi Rasmi ya Upinzani anayoiongoza walisemea kuhusu mbegu feki iliyosambazwakatika msimu uliopita ambayo ilisababisha hasara kubwa kwa wananchi. Serikaliilikubali kuwalipa wananchi fidia lakini mpaka leo hilo halijatekelezwa.
Aliongeza kuwa amepata taarifa kuwa wananchi wanauza pamba kwa mkopo na kwabei rahisi, hilo halitakubalika. Ni lazima kama Chama watachukua hatua kuzuiahilo.
Mwenyekiti aligusia suala la elimu na kuwaambiakuwa Serikali ya CCM imeharibu mfumo wa elimu. Unazaliwa Bariadi, unakuliaBariadi, unaoa Bariadi na unafia Bariadi. Hii ni tofauti na mfumo wa zamani waMwl Nyerere.
====More===
Alitolea mfano Jimbo lake ambapo ana Vijiji 64, na vijiji vyote 64 vina maji safi na salama. Akasema katika vijiji 64 anazo shule za sekondari 72. Akawataka wananchi kufanya mabadiliko makubwa ya kiutawala kwenye uchaguzi mkuu ili kuleta mabadiliko
Mfumo wetu elimu ni umeharibiwa ndio maana tunazidiwa na Kenya. Hata Rwanda ambayo waliuana wenyewe kwa wenyewe leo wana mfumo bora wa elimu kuliko sisi.
Duh Aiseee, yaani CHADEMA wako kila kona ya nchi hii - Kamanda wa anga Mbowe huku simiyu, salum mwalimu kule njombe, mnyika pande zingine duh hapo sasa naona maCCM yanahara ni full muziki hadi kieleweke.
Hongera sana CHADEMA, hongereni makamanda. Tuendeleee kupiga neno la ukombozi kila kona, kila sekta katika nchi yetu
Peopleeeeeeez!
===Mwenyekiti Taifa amepanda jukwaani na ameanza kusema yafuatayo=========![]()
![]()
1. Sukuma land imebarikiwa rasilimali nyingi lakini badp watu wake nimaskini.
2. Alitolea mfano wa almasi ya Mwadui ambayo imechimbwa miaka mingi lakinibado haiwanufaishi wananchi.
3. Kwa sasa Itilima na Bariadi zina takribani watu laki 7 na nusu lakiniukiuliza kuna shuke ngapi za Sekondari utapata aibu tupu.
Kwa matatizo haya yote bado mliichagua CCM mwaka 2010. Tunahitaji kufanyamabadiliko makubwa mwaka huu 2015.
Mwenyekiti aligusia matatizo ya zao la Pamba na kuwakumbusha wananchi kuwaKambi Rasmi ya Upinzani anayoiongoza walisemea kuhusu mbegu feki iliyosambazwakatika msimu uliopita ambayo ilisababisha hasara kubwa kwa wananchi. Serikaliilikubali kuwalipa wananchi fidia lakini mpaka leo hilo halijatekelezwa.
Aliongeza kuwa amepata taarifa kuwa wananchi wanauza pamba kwa mkopo na kwabei rahisi, hilo halitakubalika. Ni lazima kama Chama watachukua hatua kuzuiahilo.
Mwenyekiti aligusia suala la elimu na kuwaambiakuwa Serikali ya CCM imeharibu mfumo wa elimu. Unazaliwa Bariadi, unakuliaBariadi, unaoa Bariadi na unafia Bariadi. Hii ni tofauti na mfumo wa zamani waMwl Nyerere.
====More===
Alitolea mfano Jimbo lake ambapo ana Vijiji 64, na vijiji vyote 64 vina maji safi na salama. Akasema katika vijiji 64 anazo shule za sekondari 72. Akawataka wananchi kufanya mabadiliko makubwa ya kiutawala kwenye uchaguzi mkuu ili kuleta mabadiliko
Mfumo wetu elimu ni umeharibiwa ndio maana tunazidiwa na Kenya. Hata Rwanda ambayo waliuana wenyewe kwa wenyewe leo wana mfumo bora wa elimu kuliko sisi.
Namafananisha Zitto na Daud na Mbowe na Goliath!