Freeman Mbowe atetemesha Itilima-Simiyu

Freeman Mbowe atetemesha Itilima-Simiyu

Chadema hizo sasa sifa,Njombe mnapiga na Itilima nako.Mnataka kuwa kama mke wa mcharo kila siku nyama.Wataisoma number mwaka huu
 
Huu Ni mwaka alioifanya Bwana. CCM lazima wakae!!
 
Ahsante sana kamanda Standalone kwa live coverage kutoka wilayani Itilima mkoa wa Simiyu.
Kwahakika umenibariki sana jioni hii kwa maneno mazito na ya kutia matumsini makubwa kutoka kwa Kamanda wa Anga.
 
Last edited by a moderator:
Chadema hizo sasa sifa,Njombe mnapiga na Itilima nako.Mnataka kuwa kama mke wa mcharo kila siku nyama.Wataisoma number mwaka huu


Na hii Ni mchakamchaka hadi Ikulu. Hakuna kulala
 
Ahsante sana kamanda Standalone kwa live coverage kutoka wilayani Itilima mkoa wa Simiyu.
Kwahakika umenibariki sana jioni hii kwa maneno mazito na ya kutia matumsini makubwa kutoka kwa Kamanda wa Anga.

Kweli Cdm Ni mpango wa Mungu. Habari zake Ni Baraka tupu!!
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana kamanda Standalone kwa live coverage kutoka wilayani Itilima mkoa wa Simiyu.
Kwahakika umenibariki sana jioni hii kwa maneno mazito na ya kutia matumsini makubwa kutoka kwa Kamanda wa Anga.

Mwita Maranya

Tumeamua kujitofautisha na wapuuzi fulani wanaodhani kukimbiza picha mitandaoni badala ya kutoa hoja zilizozungumzwa watapata wajinga wa kuwadanganya.

Watu wetu wa habari wanajua wanachokifanya.Wamtafute Standalone awafundishe namna ya kuripoti mikutano!
 
Last edited by a moderator:
Chadema mlianza na shetani mtamaliza naye tu.

Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu, ww gamba uliewaibia watanzania maskin wa kutupwa nyie mnapiga mamilion ya mapesa na mabilion huku watanzania mkiwacha maskin hali ya kuwa TZ inautajir wa kutupwa, hv bac tulianza na Mungu na tutamliza na Mungu, ww kanungu yy bora hata huyo mnyama analiwa cjui ww ni chui jike, kaa mbali kbs mlianze na shetena na mtamaliza na sheten, kwa maana mmewabiwa watz miaka mingi sn na ushetan wenu.
 
Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu, ww gamba uliewaibia watanzania maskin wa kutupwa nyie mnapiga mamilion ya mapesa na mabilion huku watanzania mkiwacha maskin hali ya kuwa TZ inautajir wa kutupwa, hv bac tulianza na Mungu na tutamliza na Mungu, ww kanungu yy bora hata huyo mnyama analiwa cjui ww ni chui jike, kaa mbali kbs mlianze na shetena na mtamaliza na sheten, kwa maana mmewabiwa watz miaka mingi sn na ushetan wenu.

Chadema itatumia kila njia kukomboa Watanzania wanaopata shida.

Mwenyezi Mungu tusaidie..
 
anapewa hela na ccm huyu na chadema yake hawawezi kuitoa ccm madarakani na mkileta fujo tunawanyima ruzuku tuone huyo mbowe kama hajapiga magoti kwa ccm
 
MUngu ampe Afya tele .ukombozi uko njiani na tukae tayari
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe leo ameendelea na ziara yake kwa kuingia kwa kishindo wilayani Itilima mkoa wa Simiyu akitokea mkoa wa Tabora alikohutubia halaiki ya watu Nzega hapo jana.

Mara baada ya kuingia wilayani Itilima Kiongozi huyo wa Kambi Rasmi ya upinzani bungeni amelakiwa na msururu wa magari,pikipiki na baiskeli huku wananchi wakijipanga kandokando ya barabara na kupeperusha majani ya miti.

Kwa sasa Mwenyekiti huyo wa Ukawa anahutubia umati mkubwa wa watu katika kijiji cha Legangabilili wilayani humo

Tunaungana na Kamanda Standalone aliyeko kwenye msafara wa Mwenyekiti kutuletea Live updates..

Karibuni...

Delete TISSCcm, ACTccm and CCM itself! God will make a way in October GE
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom