watu lazima wajue kunatofauti kubwa kati ya taasisi ambayo inafanya kazi kiteam, na kuna kamradi kamtu mmoja, ambako hakawezi kuonekana mahali popote bila huyo mtu. Sasa watanzania wanataka tanzania imara hata kiongozi akifa chama kinaendelea kama nyakati zile za mwalimu j.k. Nyerere, chama kilikuwa na misingi kila sehemu., tujihadhari sana na miradi ya watu, ambayo mtu mmoja anakuwa alfa na omega.. Hii ni hatari, tz inawatu milioni 45+ iweje , mtu mmoja aonekane yeye ndiye kila kitu... Haiwezekani. Tuseme big no kwa watu kama hao..