Freeman Mbowe akutana na Raila Amolo Odinga

Katika kesi ya ugaidi iliyomkabili Mbowe , bila Shaka uliona Mabalozi wengi wakihudhuria , uliwahi kumuona balozi wa Kenya ? ni nani aliyesema Chadema inaichukulia Kenya kama Role model , na unamwamini ?
Kwani haya mambo hujificha mkuu 'Erythro', tuuachie muda ndio utatuonyesha.

Nimekumbuka wakati ule wa kampeni 2015. CCM wao walikuwa na nani vile? Lowassa yeye kawa upande waUhuru/Ruto, unakumbuka?

Sijawahi kusikia watu wakienda Zambia, Uganda, Burundi, Malawi, DRC au Rwanda! Hivi Kenya kuna nini kisichokuwepo huko kwingine?

Hujiuliza sana kuhusu hali hii.
 
Hivi Wachaga wamekosa kweli mtu wa kumuamini na kuwaongoza ? Mbona Wachaga wengi sana wapo ni wasomi wazuri wangeweza kuwawakilisha Wachaga kuliko huyu sellout.

Ni aibu kubwa sana kwa Wachaga kuongozwa na mtu kama Mbowe, aibu!

Mbowe ni kiongozi wa Wachaga?
 
..Raila aliniudhi sana alivyokuwa akim-support yule MUUAJI.

..Natumai Raila ameomba msamaha na kutubu kwa jinsi alivyokengeuka.
Mbowe atafanya chochote anachoona kina MANUFAA kwake. Na huna kitu chochote Cha kumfanya ukabaki salama zaidi ya kuweka bando na kubweka bweka mitandaoni.

Screenshot_2022-03-31-06-36-53-850_com.twitter.android.png
 
Hivi Wachaga wamekosa kweli mtu wa kumuamini na kuwaongoza ? Mbona Wachaga wengi sana wapo ni wasomi wazuri wangeweza kuwawakilisha Wachaga kuliko huyu sellout.

Ni aibu kubwa sana kwa Wachaga kuongozwa na mtu kama Mbowe, aibu!
Aibu yako huioni kahaba wewe
 
CHADEMA in hazina ya viongozi wenye ushawishi ndani na nje ya nchi.
CHADEMA ilikuwa zamani sasa kwisha habari yenu, mbowe anazuga zuga tu alienda Ikulu alipotoka jela kuonana mtesi wake kabla kwenda kwake unafiki umo ndani ya damu yake, aliamua kusarenda kwa miezi 8 tu aliyokaa jela, amewasaliti watanzania waliokuwa na matumain naye
 
Mbowe ajifunze Siasa za Raila

Raia aliwahi kujiunga na Daniel Arap Moi, akawahi kujiunga na Mwai Kibaki na pia kajiunga na Uhuru Kenyata

Lakin kubwa zaid sometime inaruhusiwa kuwatosa Wahafidhina kama kina Miguna miguna waliokataa kuelegeza misimamo
Na yeye amejiunga rasmi na mama samia, anusurike na jela miezi 8 ilitosha, hakuna tena mbowe apo sasa ni remote tu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi.

Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unakuwa wa haki, huru na wazi.

Kipekee, amewasihi Viongozi na Wagombea hao kuhakikisha vurugu za uchaguzi zilizotokea nchini Kenya miaka ya nyuma na kusababisha vifo vya Wakenya kamwe havijirudii tena.

Aidha, amewataka kutambua nafasi ya Taifa la Kenya katika kuendeleza Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu katika Eneo la Jumuia ya Afrika Mashariki na kwamba wanapaswa wakati wote kulinda na kuendeleza mafanikio hayo.

Mheshimiwa Mbowe amewatakia Wakenya wote mchakato mwema wa Uchaguzi wao wa August 2022.

I thought Odinga ni kiongozi wa chama cha machungwa Orange Democratic Movement (ODM)🤔
 
Eti kaenda kuwatakia Kenya uchaguzi mwema, who knows Mbowe esp. in Kenya, hakuna mtu anamjua hata.
 
Hivi Wachaga wamekosa kweli mtu wa kumuamini na kuwaongoza ? Mbona Wachaga wengi sana wapo ni wasomi wazuri wangeweza kuwawakilisha Wachaga kuliko huyu sellout.

Ni aibu kubwa sana kwa Wachaga kuongozwa na mtu kama Mbowe, aibu!
Acha ukabila mpuuzi wewe, umeambiwa ameenda kuwakilisha wachaga?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi.

Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unakuwa wa haki, huru na wazi.

Kipekee, amewasihi Viongozi na Wagombea hao kuhakikisha vurugu za uchaguzi zilizotokea nchini Kenya miaka ya nyuma na kusababisha vifo vya Wakenya kamwe havijirudii tena.

Aidha, amewataka kutambua nafasi ya Taifa la Kenya katika kuendeleza Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu katika Eneo la Jumuia ya Afrika Mashariki na kwamba wanapaswa wakati wote kulinda na kuendeleza mafanikio hayo.

Mheshimiwa Mbowe amewatakia Wakenya wote mchakato mwema wa Uchaguzi wao wa August 2022.

Hao ndio marais wajao.
 
Back
Top Bottom