ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Umeandika ushuzi.....kambale ww..Raila aliniudhi sana alivyokuwa akim-support yule MUUAJI.
..Natumai Raila ameomba msamaha na kutubu kwa jinsi alivyokengeuka.
Umeandika ushuzi.....kambale ww..Raila aliniudhi sana alivyokuwa akim-support yule MUUAJI.
..Natumai Raila ameomba msamaha na kutubu kwa jinsi alivyokengeuka.
My friend....Hivi Wachaga wamekosa kweli mtu wa kumuamini na kuwaongoza ? Mbona Wachaga wengi sana wapo ni wasomi wazuri wangeweza kuwawakilisha Wachaga kuliko huyu sellout.
Ni aibu kubwa sana kwa Wachaga kuongozwa na mtu kama Mbowe, aibu!
Mambo ni motooMwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi.
Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unakuwa wa haki, huru na wazi.
Kipekee, amewasihi Viongozi na Wagombea hao kuhakikisha vurugu za uchaguzi zilizotokea nchini Kenya miaka ya nyuma na kusababisha vifo vya Wakenya kamwe havijirudii tena.
Aidha, amewataka kutambua nafasi ya Taifa la Kenya katika kuendeleza Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu katika Eneo la Jumuia ya Afrika Mashariki na kwamba wanapaswa wakati wote kulinda na kuendeleza mafanikio hayo.
Mheshimiwa Mbowe amewatakia Wakenya wote mchakato mwema wa Uchaguzi wao wa August 2022.
View attachment 2169614View attachment 2169613
Iko kwenye muhimili wake
SanaaaCHADEMA in hazina ya viongozi wemye ushawishi ndani na nje ya nchi.
Raila alikuwa mshauri mkuu wa JPM sijui hili la kudhibiti upinzani alikuwa ndo mshauri mkuu? Tutizame historia ya mtu na sio urafiki wa mashaka! Kama namuona Mdude Chadema alivyofura anapoitizama hiyo pichaNaona Mwenyekiti kakutana na rafiki yake wa kufa na kuzikana marehemu JPM...
Tshisekedi yule ndio mpinzani sasa,maana Mobutu alikuwa ananunua wapinzani ila mwamba Tshisekedi akakazaHiyo picha natamani wangekuwepo magwiji hawa wawili waliotangulia mbele za haki Maalim Seif Sharif Hamad na Etiene Tshekedi. Wote hao watano ndo wamekuwa stubborn opposition leaders. Kwa sasa namuona Bobi Wine in the making.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi
WACHOVU !!!!!!!!!!!!!!!Mwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi.
Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unakuwa wa haki, huru na wazi.
Kipekee, amewasihi Viongozi na Wagombea hao kuhakikisha vurugu za uchaguzi zilizotokea nchini Kenya miaka ya nyuma na kusababisha vifo vya Wakenya kamwe havijirudii tena.
Aidha, amewataka kutambua nafasi ya Taifa la Kenya katika kuendeleza Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu katika Eneo la Jumuia ya Afrika Mashariki na kwamba wanapaswa wakati wote kulinda na kuendeleza mafanikio hayo.
Mheshimiwa Mbowe amewatakia Wakenya wote mchakato mwema wa Uchaguzi wao wa August 2022.
View attachment 2169614View attachment 2169613
Alizitembelea familia za BWM na JPMUrafiki wa kinafiki wala hakuja kumzika
Wewe unazungumzia urafiki wa hivi juzi?Mkuu ondoa shaka kabisa , Odinga hakuwa Rafiki wa Jiwe , ile ilikuwa mikakati ya Kenya ili asiendelee kuua vifaranga vyao , Rafiki yako hawezi kuacha kuhudhuria mazishi yako , Raila hakuja kumzika yule jamaa
Katika kesi ya ugaidi iliyomkabili Mbowe , bila Shaka uliona Mabalozi wengi wakihudhuria , uliwahi kumuona balozi wa Kenya ? ni nani aliyesema Chadema inaichukulia Kenya kama Role model , na unamwamini ?Wewe unazungumzia urafiki wa hivi juzi?
Kumbuka enzi zao wawili hao wakiwa mawaziri wa miundombinu, Odinga akiwa waziri wa Mwai Kibaki na Magufuli chini ya Kikwete. Naona wewe ulikuwa huwafahamu historia kati yao.
Unakumbuka lile boti lililoshindwa kusafirishwa kwenye barabara za Magufuli, badala yake likapelekwa Mombasa hadi Kisumu na kuelekea Mwanza?
Lakini hilo la urafiki tuliache pembeni, kuna hili la muhimu zaidi la Kenya kuwa 'model' wanayoitazama sana Mbowe na wengine wachache ndani ya chama hicho, kama mfano wa kuigwa hapa kwetu. Hili litawaondolea sifa sana kwa wananchi wengi. Ni bora mkalinyamazia kabisa kuliko kuliweka mbele kama lengo lenu kuu.
Nani huyo?Mjukuu mrithi wa wawili hawa kesha anza kutambulishwa taratibu.
Lumbe BAVICHA mpo humu?Mwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi.
Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unakuwa wa haki, huru na wazi.
Kipekee, amewasihi Viongozi na Wagombea hao kuhakikisha vurugu za uchaguzi zilizotokea nchini Kenya miaka ya nyuma na kusababisha vifo vya Wakenya kamwe havijirudii tena.
Aidha, amewataka kutambua nafasi ya Taifa la Kenya katika kuendeleza Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu katika Eneo la Jumuia ya Afrika Mashariki na kwamba wanapaswa wakati wote kulinda na kuendeleza mafanikio hayo.
Mheshimiwa Mbowe amewatakia Wakenya wote mchakato mwema wa Uchaguzi wao wa August 2022.
View attachment 2169614View attachment 2169613