YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,906
Bilionea wa mitandaoni asiyeweza kujenga makao makuu ya Chadema iwe kwa pesa ya ruzuku au yake ya mfukoni kitukoBilionea Mbowe anafahamika dunia nzima
Ila Chadema Diplomasia za kimataifa mko sifuri
Mfano mlikuwa na uhusiano mzuri sana na Odinga haukuyumba
Mlipomwingiza Lowasa Chadema ,Lowasa rafiki mkubwa wa Kenyatta mkabadili gia angani kumfuata aliyenunua Chadema!! Mkakipigia debe chama tawala cha Kenya wakati ninyi ni chama cha upinzani na Raila na nyie mlikuwa pamoja kwenye muungano wa vyama upinzani Kwa kisingizio ohh Odinga rafiki wa Magufuli
Haya sasa Odinga kajiunga na Kenyatta mbaenda tena kwa Odinga hamueleweki kimataifa mnasimamia wapi