Freeman Mbowe aheshimiwe

Freeman Mbowe aheshimiwe

Sasa.mbna huko mnamtukuza na kumuabudu bwana yule?
Hata biblia imekataza uzinifu kijana, unalijuwa hilo? Jikumbushe...

1 Wakorintho 6:

9.
Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu yeyote yule anastahili kuheshimiwa, na kulindiwa utu wake, hivyo kutomheshimu mtu ni kukiuka kanuni ya msingi ya kibinadamu.

Sote tunapaswa kuheshimiana kama binadamu na sio mpaka heshima ije kutokana na nafasi au matendo flani.
Nikikumbuka baadhi ya michango yako humu JF tu, inanipa uhakika wa kuwa wewe ni mwongo!

Hakuna binaadam anayestahiri kudharauliwa kwa matendo yake yasiyopendeza?
 
Hili ni tatizo la kulelewa kwenye danguro.
Kweli ni lazima aheshimiwe kwanza ni mwenyekiti wa maisha hilo si jambo dogo, hata serikali ya awamu ya 5 ilifanya makosa kumtupia vitu vyake nje yeye hastahili kulipa kodi yeye ni mkwepa kodi wa maisha. Hata hayo matumizi mabaya ya fedha za chama ni kosahata kumtaja kwani yeye ni mtumiaji wa pesa za chama wa maisha.
Ni kweli lazima tumueshimu sana Mbowe kwani alibadilisha Gia box angani kama futi 300 kutoka usawa wa bahari bila kuangalia usalama wa watu na chombo chenyewe wakati giabox inabadiliswa ndege ikiwa chini.

Anaitaji kuheshimiwa sana kwani ameleta kitu ambacho hakijawa kuonekana tangia 9 Desemba 1961 hadi alipofika yeye tabia ya kuwafundisha wabunge wake kususa na hata kususia chaguzi na inasemekana uchaguzi wa 2020 amesha andaa utaratibu huo wa kususia uchaguzi hili kuingia barabarani tujiandae.
Ata uteuzi wa viti maarumu pia amekuwa anaitaji heshima kwani ametimiza amli ya Mungu kwenda kuijaza dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashangaa akina Pasco na Lumumba team wanaombeza Mbowe,
Nadhani Mbowe anaweza kuwa second to JK Nyerere kwa umahiri wa kusuka na kuendeleza taasisi anazozisimamia
Mkuu mliberali , kwanza mimi sijambeza Mhe. Mbowe popote, naunga mkono hoja kuwa Mhe. Mbowe ni kama Nyerere, ila hiyo position ya next to Nyerere ni JPM.
Kwa vile mimi nimeoa Machame, na najua shemeji zangu wameisha amua nini kumhusu Mbowe ile tarehe 28 October, kuontesha namheshimu sana Mhe. Mbowe, na kuuthamini mchango wake Bungeni, nimemuomba bulaza, katika zile nafasi zake 10 za uteuzi, awateue wapinzani 4 na nikawataja. Lissu, Zitto, Mbowe na Mbatia.

Na kwa vile leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Nyerere Day, tuiadhimishe kwa kuwapongeze viongozi wetu wote wanao muenzi Nyerere kwa kumuishi kwa maneno na matendo, Rais Magufuli ni mmoja wao. Miradi ya Umeme wa Stigler Gorge na kuhamia Dodoma ni kutimiza ndoto za Nyerere.

Ili kumuenzi Mwalimu Nyerere kiukweli ukweli, nina kaswali kadogo, kitendo cha Rais Magufuli cha kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, kwa vile Nyerere alitawala Tanzania kwa kipindi cha miaka 23, na Magufuli anafana na Nyerere, jee unaonaje pia katika kutawala, ili Magufuli azidi zaidi kufanana na Nyerere, mnaonaje tukimpa Magufuli muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10?.

Ili kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati, naomba kutumia fursa hii, kuwahimiza wale wote wanaomkubali Nyerere, tarehe 28 October, Watanzania tusifanye makosa, ni asubuhi na mapema, kuwahi katika kituo cha kupigia kura, kumchagua Nyerere wa pili, na ukifika, kazi ni moja tuu,
unachukua...,
unaweka...
malizia...
Happy Nyerere Day.
Paskali
 
Mkuu mliberali , kwanza mimi sijambeza Mhe. Mbowe popote, naunga mkono hoja kuwa Mhe. Mbowe ni kama Nyerere, ila hiyo position ya next to Nyerere ni JPM.
Kwa vile mimi nimeoa Machame, na najua shemeji zangu wameisha amua nini kumhusu Mbowe ile tarehe 28 October, kuontesha namheshimu sana Mhe. Mbowe, na kuuthamini mchango wake Bungeni, nimemuomba bulaza, katika zile nafasi zake 10 za uteuzi, awateue wapinzani 4 na nikawataja. Lissu, Zitto, Mbowe na Mbatia.

Na kwa vile leo ni siku ya maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Nyerere Day, tuiadhimishe kwa kuwapongeze viongozi wetu wote wanao muenzi Nyerere kwa kumuishi kwa maneno na matendo, Rais Magufuli ni mmoja wao. Miradi ya Umeme wa Stigler Gorge na kuhamia Dodoma ni kutimiza ndoto za Nyerere.

Ili kumuenzi Mwalimu Nyerere kiukweli ukweli, nina kaswali kadogo, kitendo cha Rais Magufuli cha kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, kwa vile Nyerere alitawala Tanzania kwa kipindi cha miaka 23, na Magufuli anafana na Nyerere, jee unaonaje pia katika kutawala, ili Magufuli azidi zaidi kufanana na Nyerere, mnaonaje tukimpa Magufuli muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10?.

Ili kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati, naomba kutumia fursa hii, kuwahimiza wale wote wanaomkubali Nyerere, tarehe 28 October, Watanzania tusifanye makosa, ni asubuhi na mapema, kuwahi katika kituo cha kupigia kura, kumchagua Nyerere wa pili, na ukifika, kazi ni moja tuu,
unachukua...,
unaweka...
malizia...
Happy Nyerere Day.
Paskali
"Mayala kwetu njaa " Hii u-turn uliyopiga itakutafuna milele
 
Back
Top Bottom