Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,828
- 5,969
Sasa.mbna huko mnamtukuza na kumuabudu bwana yule?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata biblia imekataza uzinifu kijana, unalijuwa hilo? Jikumbushe...
1 Wakorintho 6:
9.
Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Sent using Jamii Forums mobile app