Mtukudzi
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 103
- 408
Nimekaa na kutafakari sana. Nimemtafakari bwana Freeman Mbowe. Binadamu huyu anatakiwa apewe heshima kubwa sana.
Yeye siyo adui wa nchi hii, la hasha! Mbowe ametoka kwenye jamii iliyostaaribika sana. Alichofanya tangu enzi zile mpaka Leo ni kuwafanya watanzania wawaze nje ya box. Kwamba lazima pawepo na siasa za ushindani ili kuleta maendeleo.
Ushindani ni ukuaji. Amefanya makubwa kuliko wale tunaowaheshimu kwa kuwa wako madarakani.
Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake.
Freeman Mbowe aheshimiwe
Yeye siyo adui wa nchi hii, la hasha! Mbowe ametoka kwenye jamii iliyostaaribika sana. Alichofanya tangu enzi zile mpaka Leo ni kuwafanya watanzania wawaze nje ya box. Kwamba lazima pawepo na siasa za ushindani ili kuleta maendeleo.
Ushindani ni ukuaji. Amefanya makubwa kuliko wale tunaowaheshimu kwa kuwa wako madarakani.
Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake.
Freeman Mbowe aheshimiwe