nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 6,478
- 11,169
Kuna mjinga mmoja amemlinganisha Mbowe na Nyerere
Kweli kupenda upofu.
Kweli kupenda upofu.
Kuna wajinga walijiita MATAGA walimlinganisha jiwe na Nyerere, baada ya jiwe kufeli kila secta siwasikii tenaKuna mjinga mmoja amemlinganisha Mbowe na Nyerere
Kweli kupenda upofu.
Baba mwenye mjukuu unamuita "kitoto" halafu unauliza eti nani kamvunjia heshima? Ulipokuwa unamtetea kikwete kwa nguvu zote kuna mtu alikuuliza kama wewe ni mkwere? Kibibi kisicho na busara ni sawa tu na kisichana kimala----!Nani ambae kamvunjia heshima?
Kitoto cha juzi juzi hiki kulikuwa kinafundishwa u DJ na kina DJ Seydou na DJ Femmy.
Unaongelea "enzi", enzi zipi hizo?
Wewe ni Mchagga?
Kuwa na mjukuu si hoja anaweza kubambikiwa tu.Baba mwenye mjukuu unamuita "kitoto" halafu unauliza eti nani kamvunjia heshima? Ulipokuwa unamtetea kikwete kwa nguvu zote kuna mtu alikuuliza kama wewe ni mkwere? Kibibi kisicho na busara ni sawa tu na kisichana kimala----!
Sent using Jamii Forums mobile app
Makamanda ushuzyAnakazi kubwa Sana kuwapika vijana wake (makamanda ushuzi)
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Soma hyoooKweli ni lazima aheshimiwe kwanza ni mwenyekiti wa maisha hilo si jambo dogo, hata serikali ya awamu ya 5 ilifanya makosa kumtupia vitu vyake nje yeye hastahili kulipa kodi yeye ni mkwepa kodi wa maisha. Hata hayo matumizi mabaya ya fedha za chama ni kosahata kumtaja kwani yeye ni mtumiaji wa pesa za chama wa maisha.
Ni kweli lazima tumueshimu sana Mbowe kwani alibadilisha Gia box angani kama futi 300 kutoka usawa wa bahari bila kuangalia usalama wa watu na chombo chenyewe wakati giabox inabadiliswa ndege ikiwa chini.
Anaitaji kuheshimiwa sana kwani ameleta kitu ambacho hakijawa kuonekana tangia 9 Desemba 1961 hadi alipofika yeye tabia ya kuwafundisha wabunge wake kususa na hata kususia chaguzi na inasemekana uchaguzi wa 2020 amesha andaa utaratibu huo wa kususia uchaguzi hili kuingia barabarani tujiandae.
Ata uteuzi wa viti maarumu pia amekuwa anaitaji heshima kwani ametimiza amli ya Mungu kwenda kuijaza dunia.
Soma.hyoNa kuwageuza vijana wa ufipa mizuka isio jitambua si kazi rahisi
Soma hyoHapo ndipo DJ anapowapigia pesa sasa maana mnamuona mtukufu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uvumilivu wake ndo umeifanya ccm iendelee kuwepo bila hivo tungeshagawana fito.Amani yetu alindwi na polisi bali hekima na busara za wanasiasaNawashangaa akina Pasco na Lumumba team wanaombeza Mbowe, imagine ikulu inatenga Tshs. 1.5 tri. ili kuingamamiza taasisi iliyostawishwa kwa i vyema na mh mbowe.
Nadhani Mbowe anaweza kuwa second to JK Nyerere kwa umahiri wa kusuka na kuendeleza taasisi anazozisimamia
Wao na ninyi wote wajinga tu.Kuna wajinga walijiita MATAGA walimlinganisha jiwe na Nyerere, baada ya jiwe kufeli kila secta siwasikii tena
Wanatumia mda mwingi kuwaza chadema kuliko kuwaza shida za watz. Matokeo yake wameishia kwenye stress upinzani umegoma kufa,shida za watz zingalipo palepale.Ni heri wangetatua shida za watz upinzani ungejifia wenyeweKwa namna yoyoteile, tunahitaji chama vya upinzani chenye nguvu hapa Tanzania.
Kichaa tu ndio atawaza kufuta vyama vya upinzani kwa sababu hajui umuhimuwake.
Kuna mbunge mmoja nimeskia anasema Chadema ifutwe nikajiuliza huku nangalia picha yake ivi huyu anaakilikweli huyu?.
Anajua madhara ya kutokua na chama nchenye nguvu bacho kinaweza kuikurupusha serikali usingizini??.
Mbowe ni kiongozi mwenye akili na anajua kucheza kwa umakini.
Ccm hawapati usingizi kwasababuyake.
Hongera sana Mbowe wewe na timu yako ndio mnafanya nchi kuwa hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa kitengo cha kumtukana Mbowe pale Lumumba Buku 7, lakini siyo ungwana unachofanya ni usheitwani tu.Kuwa na mjukuu si hoja anaweza kubambikiwa tu.
Nimeshaulizwa sana na nimeshaambiwa sana kuwa ni Mkwere, tatizo nini?
Mbowe kavunjiwa heshima na nani? Heshima alijivunjia mwenyewe alipo divert safari ya mbunge wake au ni mala... wake? Kutoka New York kwenda Dubai kula nae "bata". Kuna heshima iliyobaki hapo?
Hizo "enzi", enzi zipi hizo?
Mungu mbariki Freeman Mbowe , nguzo ya amani Tanzania
View attachment 1407920
Kichwa kibovu kama hiki vimebaki vichache sana mjini, itabidi zifanyike juhudi za makusudi utafutwe popote ulipo tukuweke "karantini" makumbusho ya taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app