Kuna watu nawaheshiimu sana humu JF lakini wanashindA humu JF kuinanga CDm itakufa, eti haitapata hata mbunge mmojaYule bwana ametumia nyenzo zote kuanzia wasiojulikana, DPP, wakurugenzi,msajili,manunuzi, polisi,nk kujenga hofu Kwa ushauri wa yule MTU mrefu anaetawala nchi mkoa lkn amechemka,kila akiwaza jinsi ya kuzima nguvu za umma anaishia kulala tu kwenye jiwe,kaingia gia ya kutumia nccr ambayo inajulikana moshi pekee nayo itabuma kama zibumavo zingine.
Huwezi ona wanakosaoa au kulaani mwenendo na matendo yasiyo ya haki wafanyiwayo CDM
