OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
bila kupunguza dharau na kuhoji kuwa uwekezaji utafanywa je utabaki kwenye hicho kibox ulimojifungia! umeshakuwa na kasumba kuwa wawekezaji lazima wawe wazungu au wahindi! wapo watu majuu wana biashara na mitaji ya kutisha lakini kutokana na miundo mbinu mibovu, ukosefu wa umeme na rushwa kwenye taasisi nyuingi za fedha wanashindwa kuwekeza Tanzania! wewe baki na kutengeneza supu ya makongoro ukidhani kila mtu anafanya hiyo!!
Mkuuu nacheka kwa sababu hatujuani na yet unafikiri kuwa nauza makongoro......poor you...!!!!!!!!!I dare say once again wawekezaji wanaotakiwa na kuzungumziwa katika sera sio wa caliber ya hao mnaowazungumzia hapa......kama wapo wataje, makampuni wanayomiliki na mitaji yao.
Kama uliondoka zamani watu sasa wamesoma na wanajua the pre-requisites......acha blah blah zako......kuna watu wa caliber ya IPP na AZAM huko wanaoogopa bureaucratic red tape and poor infrastructure??????
I am in a box yes.....but fully conscious neither boozed nor stupid.......give a list bana ntaondoa kauli yangu this verry moment
Natanguliza kuomba radhi kama kweli utaweza kuweka list ya hao unaowaita wawekezaji na company profile zao