Freeman Mbowe - Afanya maajabu Houston TX

....[/QUOTE]
Duh, Mkuu umemchana jamaa tosha, neno moja kwa mwenye hekima latosha. Tatizo watu wakiwa nje huwa wanjisahau sana!
 
....[/QUOTE]
Bila kupasha akili joto za watu kama hawa tutakuwa hatujitendei haki,hatuwatendei haki wao na kuidhulumu nchi yetu.

Mbaya zaid ni kuwa tutakuwa hatuutendei haki utu wetu tofauti na wanyama sisi tuna uwezo wa kutumia akili beyond subsistence level.Tuko pamoja mkuu Msengapavi@ kitaeleweka tu come sunshine come rain
.
 
Hivi hawa jamaa wa diaspora huwa wanapiga kura kweli hawa?

Wanapaswa wapige kwani nao pia ni watanzania, ni mfumo mbovu ndo uliokuwa unazuia hili, so marekebisho yanahitajika km bado hayajafanyika
 
Nimeipenda hiyo kwani itawachanganya ccm na Nape akiona Pikipiki hizo 126 atazusha kuwa zimetolewa na wafadhili wa kizungu!
Nape huwa anaambiwa hayo maneno na mganga wake wa kienyeji kuwa chadema wamepewa hiki na fulani ndio maana huwa anakurupuka na kuongea mambo ambayo hana uhakika
 
wewe inaelekea umejifungia kwenye kibox kidogo au tayari umeshalewa falsafa za magamba kwamba kila anayetoka nje ya Tanzania ni kwa ajili ya posho au mambo binafsi! Kwanza uelewe lazima chama kijimbanue ndani na nje ya nchi na pia kuna mchakato mzima wa katiba na hili la watu walio ughaibuni kuruhusiwa kupiga kura kwenye balozi zetu au kwa njia ya mtandao litaingizwa so kamanda mbowe yupo kueleza itikadi na falsafa za chama nje ya Tanzania na kutafuta marafiki pia!!na kuhamasisha watanzania walio nje wenye kipato kizuri wawekeze Tanzania na wasaidie pia vuguvugu la M4C ili 2015 mambo yaende sawa!

Mbinu za ukombozi ni nyingi,hongereni CDM kwa ubunifu na mikakati iliyo hai
 
Back
Top Bottom