Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

José mwenyewe mtoto tuu huoni alivyokuwa ananisumbua?
Nadhani sasahivi nitafute mzee mwenzangu hawa watoto watanipa jaka la moyo.

Au nielekeze akili yangu kwenye kujikwamua kimaisha kwa kuendeleza biashara zangu kuliko kupambana na hawa watoto kama ulivyotushauri kwenye bandiko lako au wewe unasemaje?
Akuu mie thimoooo!!
 
Ngoja NIKUSANYE HELA KWANZA...NIKIFUZU NITAKWAMBIA...ILA WEWE KICHWA CHAKO KIZURI SEMA NDIYO MAANA NIMESHAWAHI KUKUULIZA KAMA UMESOMA FALSAFA ULINIAMBIA ULISOMA UNAPOSOMEA UALIMU. BILA UNAFIKI NASEMA HADHARANI KICHWA CHAKO KIZURI SIJAJUA KAMA MME WAKO UTAKAMPATA MWINGINE ATAKUWA NA KICHWA KAMA CHAKO. MSHUKURU MUNGU KWA KUKUPENDELEA KUWA NA UBUNGO ULIONAO.
Mume wangu kichwa, ndio kaniambukiza.

Cc MO11
 
Sikuwahi kujua kuwa kuna wanawake humu JF wanaakili kiasi hiki, mbarikiwe sana maana wengi ni slay queen tu mjini hapa.
 
Back
Top Bottom