Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Sikuzagi mimba zisizokuwa na baba, niliitoa mpendwa.Vipi umeshajifungua?
Vipi uhali gani wewe?
Sikuzagi mimba zisizokuwa na baba, niliitoa mpendwa.Vipi umeshajifungua?
Vipi nitume kwa basi nini?Mmmmh!!!
Tulia kidogo bebe wangu, Embu punguza hasira tutaongea baadae kidogoHaya mambo unayasema hadharani kabisaa? Yaani mimi mtoto? Biashara zako unafanya kimyakimya hata hunishirikishi
Hahaa!! Salama,lakini nakumbuka ile ilikuwa na baba tena anaejielewa kabisa,au alikuletea ndivyo sivyoSikuzagi mimba zisizokuwa na baba, niliitoa mpendwa.
Vipi uhali gani wewe?
sawa babyTulia kidogo bebe wangu, Embu punguza hasira tutaongea baadae kidogo
kimyakimya eeeSikuzagi mimba zisizokuwa na baba, niliitoa mpendwa.
Vipi uhali gani wewe?
Acha kunitenga embu nipe ushauri alaahAkuu mie thimoooo!!
Hahaha umepotea broKagame cc Q
Nipo bro vazi jipya tuHahaha umepotea bro
Missed u pia... Uache kujificha ficha..Wacha we!!!
Mie nilikumiss tu mpendwa.
Ahahahaaaaaa embu niache mie, mbona kama unataka niharibia kwa my new darling bebeHahaa!! Salama,lakini nakumbuka ile ilikuwa na baba tena anaejielewa kabisa,au alikuletea ndivyo sivyo


Namtania tuu huyo ndugu yangukimyakimya eee
, achana nae
poa mkuu aiseeNipo bro vazi jipya tu
Mimi nakuzoom tuAhahahaaaaaa embu niache mie, mbona kama unataka niharibia kwa my new darling bebe
Umekuja kuwaje lakini au hutaki kajomba kako kapate msaada?
Mfyuuuuu usirudie tena kutoa siri za familia
utani eee...mi nakuona tu..endeleaNamtania tuu huyo ndugu yangu, achana nae
OK,ok hivi bado unatumia ugoroAhahahaaaaaa embu niache mie, mbona kama unataka niharibia kwa my new darling bebe
Umekuja kuwaje lakini au hutaki kajomba kako kapate msaada?
Mfyuuuuu usirudie tena kutoa siri za familia