Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
- Thread starter
- #381
Mwanaume akiongea mwanamke unanyamaza na kuitikia tu alaa!!!Hapa tu ndipo sijapaelewa, nikifanya home ndio Ofisi yangu Kuu....kesho Mola akakuita....nitaanzaje kutafuta Kazi maana huko nje hata sikujui kulivyo na sina Experience nje ya Nyumbani?
