Mwanamke anabaki kuwaje mwanamke wakati tunagawana majukumu nusu kwa nusu?Utasikia mwanamke atabaki kuwa mwanamke tu. Utaitwa majina ya kila aina.
Mtaambiwa mnapenda sana tamthilia za kifilipino, zimeshawaharibuUtasikia mwanamke atabaki kuwa mwanamke tu. Utaitwa majina ya kila aina.
Kama zamu yake ya kupika halafu hajapika ale huko huko. Na 50/50 mpaka outing na washkaji. Leo ukienda kuangalia mpira na mimi nikiomba kwenda kwenye outing na mashoga zangu unapiga kimya
Mbavu zangu...Kuongeza inaruhusiwa ila si unajua zinaongezekaje eeh??![]()




Ndio maana yake.... Hapo manyanyaso yatapungua....
Kwa Kaka zetu hawa...watakimbia ndoa....




na kuanza kusema wanawake wa siku hizi wakorofi kumbe wanatupa wenyewe power ya kufanya ukorofiMambo yanabadilika....watupe nafasi na sisi tumiliki vya kwetuna kuanza kusema wanawake wa siku hizi wakorofi kumbe wanatupa wenyewe power ya kufanya ukorofi
Mtaambiwa mnapenda sana tamthilia za kifilipino, zimeshawaharibu




Ndio maana nakupendagaAmeeen!
Na sisi tutawageia yetu (malezi upishi usafi etc)Wanataka tugawane yanayohusu pesa tu.
Whaaaaat!? Carbamazephine huyu huyu ninaemjua mimi au mwingine?Ya kweli dia, nilimfumania na rafiki yangu carbamazepine nimeamua niwaache wawe huru. Kumbe hujui kama carba alinigeuka?


Heeee jf simama nishuke zangu mie!Unasema nyumba tu...mwingine anasema unanipangia watoto wangu wasome shule gani?...Utasikia "unanipangia kwenye nyumba yangu"!!
Uwiii. Kesho yake ataongoza campaign nchi nzima kupinga upumbavu wa 50/50. Atakua balozi mzuri sana wa mwanaume kujua majukumu yake kwenye familiaUnamtumia sms, "wahi kurudi nyumbani leo uhakikishe watoto wameoga mapema,wamefanya home work na wale na kulala mapema, mie nipo sehemu na friends tunapata moja moto moja baridi"



Teh ndo yale yale ooh mwanaume ni kama mtoto, ila subiri sasa huyo mtoto achelewe kurudi bila taarifa afu umuulize au umseme, utaambiwa "usinitreat kama mtoto wako" mweeh![]()
![]()
![]()
![]()
Linapokuja suala la kumfurahisha mwanamke ndio tunaambiwa tamthilia, ila ikiwa kwa mwanaume basi wewe ndio mwanamke unaefaa.