process ya pili kwangu inagoma kufanya kazi nashindwa kutransfer config files wala kuunzip coz kwenye config files kwangu gamna kitu.files is empty
Mkuu angalia post ya elmagnifico kwa win 8 64Bit tumia hiyo openVPN alio weka elmagnifico, iko post za mwanzo mwanzoprocess ya pili kwangu inagoma kufanya kazi nashindwa kutransfer config files wala kuunzip coz kwenye config files kwangu gamna kitu.files is empty
njunwa wamavoko habari mkuu ninaomba japo hata kwa pm unifafanulie kuhusu hii kitu na umeniacha kwny magic cm card na usb dongle
Daah.. nimeingia jukwaa gani tena hili?!
yaani hamna ninachoelewa aseee.. kweli shule muhimu!
mhhh hongereni yenu naona wataalam mnafaidi bana ss wengine tutaishia kusoma matambo yenu ya maujuzi yenu nilikuwa na mzuka wa kufuatilia lakini mwanzisha uzi aliposema kaweka huku akijua kuwa wote ni ma cracker hapo ndio kanikata maini kabisaaa maana sijui cracker ndio mdudu gani.
ila kama kuna muungwana anayeweza jitolea kuwa MWALIM mwanafunzi nipo hapa jamani.
why kila siku mfaidi nyie tuu au ndio kama kawaida mwasema mwenye nacho huongezewa?
labda ningeanza kwa kuuliza swali hili MAGIC SIM CARD ndio nini wakuu au ni line gani hiyo?
na usb flush dongle nayo ni kitu gani??
msisahau kuwa hata MBUYU ulianza kama MCHICHA?
- Magic SIM card (without Balance)+USB DONGLE unavyosema hivyo unamaanisha nini??? hasa kkwenye usb dongle??
njia panda.!!
Mkuu njunwa wamavoko hiyo MAGIC SIM CARD ndo sim card gani na inapatikana wapi? nahitaji hiyo huduma sana mkuu, tafadhali.
modem yangu huawei k3565 haionekani ninapo conect nipeni link ni apdate firmware.
[url=http://huaweifirmwares.com/downloads/k3565/]K3565[/url]
shukrani njunwa wamavoko Nimefanikiwa kuiona username na password. inapiga kazi kwa spidi ya ukweli
Speed ya ukweli ambayo hatuioni tutaiamini VPN
huyu jamaa ashanifanyia mabmbo sana hii ni extra tu,though bado sijafanikiwa katika hili am still trying,karibu tufaidi pamoja
jitume tu utafaidi na wewe..
Mkuu tunashukuru kwa mautundu yako! much respect kamanda wa nguvu!!!!
ila mimi hivi vitu ambavyo umeviweka kwenye namba moja ambavyo ni Magic SIM card (without Balance)+USB DONGLE ndo sijavielewa! nieleweshe ni vitu gani hivi kamanda!!!
- Chukua hii hapa
Code:[URL="http://huaweifirmwares.com/downloads/k3565/"]K3565[/URL]
https://docs.google.com/document/d/1B-XJ0ykmW-BZ564pk2hZHCzqiCLwlBSUFj3GrzbJ4Uk/edit?usp=sharing
Wakuu tumieni Usernem kupata Usernem na server zenu na masiha yenu hamtolipia Internet kwa VPN provider yeyote wala ISP yeyote
Kwa wale mlioni PM bussiness goes on in the evening