Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,754
- 2,341
- Thread starter
- #121
kwa simu vp njunwa???
sasa hivi Nimewapa priority wa Android Version 4 nakuendelea pamoja na wale wenye iOS >5.1
kwa simu vp njunwa???
kazi nzuri kaka ingawa wengine hatuwezi pata hizo username na pssword kwa sababu ni wageni humu jf
Inabidi utafute thread kama tano uchangie afu upate post 5+ afu ndo uni PM kila siku ntakuwa natoa usernem na passwd upya
Kwa wale ambao hamkuleta feedback account nimeziwekea FLAG na nyingine nimewapa wengine sababu ziko limited nasiwezi Ruhusu ziharibike na watu wasiozitumia ndo maana naamua kufanya hivo
Nimeweka Tutorial jinsi ya kujipatia Configs zako na usernem na passwd yako lkn hii ni kwa wale ambao washajaribu kwanza zangu
Hivo kwa wageni wote ntaendelea kuwapatia Usernem na Password kesho 24HRS sitotoka online ntakuwa nikigawa Usernem na passwd hivo stay tuned.
Kwa wale wanao-omba usernem asubuhi ili wazitumie jioni nawashauri wasiwe na haraka Usernem japo zipo limited lkn sitegemei ziishe leo wala kesho
https://docs.google.com/document/d/1B-XJ0ykmW-BZ564pk2hZHCzqiCLwlBSUFj3GrzbJ4Uk/edit?usp=sharing
Wakuu tumieni Usernem kupata Usernem na server zenu na masiha yenu hamtolipia Internet kwa VPN provider yeyote wala ISP yeyote
samahani mkuu nimeingiza hzo server zmegoma n imeniambia hv,unrconized option or missing parameterin the server au inasema gui server haitaki server zaid ya hamsin msaada mkuu
Mi naona ungetoa ni wapi unapotengeneza hizo username na password tukatengeneza wenyewe ili kukuepushia usumbufu!
coz tangu juzi nikilikuwa napata net poa but leo inahitaj niingize password kwa jinsi ninavyoelewa ile password niliyokuwa natumina its not valid any more.
same to meNdo hivyo njuva keshafunga, nimejaribu fuata maelekezo yake metengeneza account lakini mambo hayakubari
same to me
mkuu we nawe una mambo eti gb 5. haya bana nilifanikiwa lakini,kuna file moja la kwenye config lilikuwa linamiss.sema nimeifaidi kwa hizi siku 2 nimeshusha vitu vya kutosha ngoja nirudi kwenye GB zangu 5 za kila day
naona jamaa kashafanya yake tayr,,,maan walalmikaji 2naongzeka 2.
Ndo hivyo njuva keshafunga, nimejaribu fuata maelekezo yake metengeneza account lakini mambo hayakubari
same to me
same to me, jamaa kazifunga(kaziflag) sijui kwa sababu gani ila kama sababu ni kuto kutoa feedback mi nahisi ni mtu wa kwanza kutoa feedback angalieni wenyewe page ya kwanza idm feedback ni ya nani. njunwa wamavoko siyo fresh kuflag baadhi ya account achia watu wapakue madude.
hii kitu toka jana inaniumiza kichwa, nime sign up peoplesvpn, ni kasign up kebrum ni kadownloadd certificates lakini nachanganyikiwa kila nalofanya naambulia patupuWakuu nitake kuwambia kuwa nyie ndo wahasisi wakwanza wa hili gemu na nimefurahishwa na kuchangamka kwenu
mfano mr elmagnifico katuletea OpenVPN ambayo inaweza Tumika kwa 64bits maana mm mwenyewe nilishindwa kutumia Open VPN yangu kwa windows 8.1 64bits ndo maana Tutorial limeiandalia kwenye "Windows 7 not genuine".
Kuna tutorial Mpya nimeweka yakujipatia Usernem na pAssword nataka pia baada ya kuwaonjesha zangu ningependa kuwambia pia muishughulikie maana Akili za wengi Ugundua mengi
https://docs.google.com/document/d/1B-XJ0ykmW-BZ564pk2hZHCzqiCLwlBSUFj3GrzbJ4Uk/edit?usp=sharing