Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

upload.JPG Mimi nimetumia hi hapo tool, unafuata process zote za njuva sema inapokuja kwenye ku extract na kuamishia mmafile ya hilo folder la free internet hapo ndipo kuna utofauti maana hii tool kwenye location ya C:\programs\openvpn\config hilo folder halipo. kwa hiyo unaweza extract kwenda location yoyote utakayoona ni rahisi kwako.
then ukishamaliza utaifungua hiyo open vpn inaenda kwenye tray utaifuata na ku i double click itafunguka then uta click kwenye add profile from computer, u allocate yae mafile yako ulio extract uchague moja ambalo litaonekana kwenye hiyo software kwamba limekuwa added, then uta li right click na kucahgua connect, utaingiza username na password uliopewa na njuva mambo safi
 

Attachments

mhhh hongereni yenu naona wataalam mnafaidi bana ss wengine tutaishia kusoma matambo yenu ya maujuzi yenu nilikuwa na mzuka wa kufuatilia lakini mwanzisha uzi aliposema kaweka huku akijua kuwa wote ni ma cracker hapo ndio kanikata maini kabisaaa maana sijui cracker ndio mdudu gani.
ila kama kuna muungwana anayeweza jitolea kuwa MWALIM mwanafunzi nipo hapa jamani.

why kila siku mfaidi nyie tuu au ndio kama kawaida mwasema mwenye nacho huongezewa?

labda ningeanza kwa kuuliza swali hili MAGIC SIM CARD ndio nini wakuu au ni line gani hiyo?
na usb flush dongle nayo ni kitu gani??
msisahau kuwa hata MBUYU ulianza kama MCHICHA?
 
View attachment 113524Mimi nimetumia hi hapo tool, unafuata process zote za njuva sema inapokuja kwenye ku extract na kuamishia mmafile ya hilo folder la free internet hapo ndipo kuna utofauti maana hii tool kwenye location ya C:\programs\openvpn\config hilo folder halipo. kwa hiyo unaweza extract kwenda location yoyote utakayoona ni rahisi kwako.
then ukishamaliza utaifungua hiyo open vpn inaenda kwenye tray utaifuata na ku i double click itafunguka then uta click kwenye add profile from computer, u allocate yae mafile yako ulio extract uchague moja ambalo litaonekana kwenye hiyo software kwamba limekuwa added, then uta li right click na kucahgua connect, utaingiza username na password uliopewa na njuva mambo safi
Working like cham thanks
 
Daah.. nimeingia jukwaa gani tena hili?!
yaani hamna ninachoelewa aseee.. kweli shule muhimu!
 
Ambao hamjapata USERNEM na PASWD Soma Update niliyoweka ni mpaka evening
Kwa wale mtakao shindwa tumia wapeni wenzenu itakuwa imewagomea
 
Back
Top Bottom