Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

Nimekupata vizuri Mkuu. Naomba Unipatie Username na Password.

mkuu nakuomba edit ufute maelezo niliyoyaweka mm afu ndo uombe passwd huoni unarefusha uzi na utafanya watu washindwe kusoma thread hii

mfano ni wewe nimesema usernem jioni lkn wewe umekomaa usernem nimesema usernem pm we unaquote maelezo yote

rekebisha basi
 
Walioni PM naanza kuwashughulikia sasa Hivi ni 32PM hivo kuwa mpole inaweza take mpaka saa kumi na mbili jioni
USERNEM and passwd are given on the basis first come first served
 
mkuu naomba unifafanulie juu ya hiyo magic cm card na usb dongle,then nipatie user name na password....

Oya unarefusha uzi emu usi-quote maelezo niliyoweka nakuomba uedit ufute
Usernem na passwd sio kwenye thread labda kama nimekusahau
 
PM qushiney Lol nimechoka Vidole mpaka
Kwa sasa nimeleta tutorial Ya ANDROID V 4 above na iOS 5.1 above
na atakaye kuwa na hivo vifaa atapewa priority kwanza

Msisahau kusoma Updates ninazoweka maana usernem zangu zitanirudia mda muhafaka ukifika hivo jifunze kutengeneza Configuration files zenu na jipatieni usernem na password
 
Ilichukua muda mrefu ku-connect...
2czpwlv.jpg


Imekubali ila speed ni kobe na najua nipo mbali ambapo nahisi siipati 3G ni only edge...nadhani nikifila Location ya 3G nitatambaa mbaya...thanks!!

dqhqtv.jpg
 
PM qushiney Lol nimechoka Vidole mpaka
Kwa sasa nimeleta tutorial Ya ANDROID V 4 above na iOS 5.1 above
na atakaye kuwa na hivo vifaa atapewa priority kwanza

Msisahau kusoma Updates ninazoweka maana usernem zangu zitanirudia mda muhafaka ukifika hivo jifunze kutengeneza Configuration files zenu na jipatieni usernem na password

Pole sana ungekuwa jirani n-ngekupiga BIA za haraka faster for drive!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom