Usitutishe...me naziuza izo line kwa bei iyo iyo hapo juu....hupaswi kunitrace..me ntakwambia hadi nnapo ishi...nifate geteta bahari beach...block F ndo napokaa karibu na zoo..ulizia ginner utanipataIP yako iko tayari sasa tuna monitor uko wapi kabla ya kumaliza kazi nzima, feki feki mko wengi lakini tunataraji uta chain wahusika wengine wote, wa16 on duty.