Free and Independent Zanzibar



Hatutegemei hao unaowaita wawakilishi hata kidogo.

Ukombozi wa Zanzibar utaletwa na Wazanzibari wenyewe na hilo haliko mbali
 
Waende tu UN. Hata Wairan wanaoishi Marekani huwa wanaenda kuandamana mbele ya UN pale Ahmedinajad anapokuja kuhutubia.
 

Hawawezi JokaKuu walivyo mafisadi labda wabunge wa CUF sio wa CCM wana tamaa mno!!!! Yote hii ni mikwala tu hakuna kitu.
 
Msema hovyo, itakuwa ulizaliwa baada ya mapinduzi matikufu ya Januari 64 ndio maana inasema hovyo. Uhuru gani huo unaouulizia. Zanzibar si ilipata uhuru wake Desemba 1963?, sasa uhuru gani tena mnaoutaka.

Muungano wetu ni ndoa ya ukweli ya mkeka iliyoongiwa kwa convenience. Ndoa ni ndoa hata ikiingiwa kwa hiari ni binding na haiwezi kuvunjika kwa hiari hata kama mmoja wa wanandoa hakuingia kwa hiyari na kesha ichoka ndoa yanyewe, bado haiwezi kuvunjika.

Ukiona mke amekuchoka na kuanza kukufanyia visa, ujue kesha pata bwana mwingine hivyo anafanya visa ili apewe talaka akajinafasi. Bara tumeshalibaini hilo, tena bwana mwenyewe ni mafuta ambayo hayajai hata kwenye kinibu!. Visa fanyeni, talaka kamwe hatutoi na ndoa itadumu daima. Muungano Milele!

Mungu ibariki Tanzania.

Pasco.
 
Lipeni kwanza deni la Bilioni 50 kwa kuwapatieni umeme, halafu mnasepa tu.

Na wao walipeni pound 600,000 walizoanzishia benki kuu ya Tanzania 1960s na US dollar zao zilizotumika katika vita vya kagera kutoka kwenye mauzo ya karafuu yaliyopita.

Dharau mkuu hazitaleta mwafaka wala kuelewana hekima na demokrasia ndio solution ya muungano huu. Serikali 3 au muungano kuvunjika kabisa kwa ustaarabu.
 
Zanzibar walikuwa na kiti UN wakaki surander kwa ridhaa yao wenyewe hivyo kwenye UN, Zanzibar doesn't exist anymore, so does Tanganyika, iliyopo ni Tanzania tuu. Hata waandamane na mabango mpaka mbinguni, it won't change a thing!.
 
Nauli ya kwenda Dodoma poa kabisa, tena wiki ijayo wakuu wako mjengoni.
 
Hakuna mwana JF anayewang'ang'ania kama Msema Hovyo anavyodai humu. Wengi wamekujibu na wanasema jiondoeni, nendeni nk. Sasa wewe unadai wanawang'ang'ania.

Si mmepata mwafaka na CCM? Sasa hapa si makao yao makuu. Hamkukutana humu. Maoni yetu wengi wetu ni chukueni nchi yenu, viongozi wenu wa CUF wamewaingiza mkenge, badala ya kuwabana mnakuja lia lia humu. Kwani hamjamsikia Lissu huko bungeni? Umeangukia humu lakini ulipojikwaa ni somewhere else. Please go and check.
 
Tatizo ni hao Baraza la Wawakilishi hawatataka kabisaaa kuondoka kwenye Muungano maana hawana uhakika kama kweli hizo keki za mafuta watafaidi au watakuja watu wengine na kuwafukuzilia mbali.

Hawa watu wa CCM huko Zanzibar ndiyo tatizo hasa na CCM Bara wanajua kuwavimbisha matumbo yao. Hebu kumbuka jinsi Dr. Hamad wa CUF alivyokuwa mkali wa POSHO na kutaka kuvunja sheria ili aanzishe Kambi ya upinzani isiyo Rasmi. Na mwisho malizilia huyu Maalim Seif aliyekula matapishi yake mwenyewe.


 
Last edited by a moderator:
Wale wote wenye wishful thinking muungano uvunjike, nawapa pole kwa vile hilo halitatokea. Wenye uwezo wa kulisukuma hilo mbele, wameshalambishwa asali hivyo wako bize kusikilizia utamu huku wakijiandaa kuchonga mizinga.
 

Hatujawachoka Msema Hovyo, tumechoka kuwabeba
 
Ukombozi wa zanzibar, if at all utatokea, utakuwa ndiyo ukombozi wa Tanganyika in disguise!! we are fed up with ungrateful zanzibaris!! Go away and disappear asap!!
 
Badala ya kuandamana kwenda Ikulu yenu pale au Baraza la Wawakilishi mnaenda kuandamana UN? Mtabakia kuwa kama Quebec msipoangalia.
 
hao wanao andamana wanamwakisha nani?
huu muungano ni tatizo la kudumu kama kila muhuni anaweza kuusemea
 
Tanganyika na Zanzibar ni nchi mbili zilizoungana mwaka 1964 na kupatikana TANZANIA. Je, muungano huu unamanufaa kwa pande zote mbili yaani Tanganyika na Zanzibar?
 
Kwani ninyi kinachowazuia kuwa na hiyo serikali ya jamhuri ya watu wa Tanganyika ni nini? Kwanini msiamua kufanya hivyo ili wazanzibar tuwe huru. Tumechoka kukandamizwa na Tanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…