Frederick Sumaye na kusaidia upinzani

Frederick Sumaye na kusaidia upinzani

Wezi wakubwa nyie, mwizi wa kuku anatiwa kiberiti, hivyo ninyi mnastahili maradufu! Ukweli mchungu huu hapa: LOWASSA-62%, Mtu wenu-37%. Wizi ni fedheha, siyo jambo la kujionea fahari! Ndiyo maana mmekosa hata ujasiri wa kupita mitaani kushangilia!

Wachaga watazidi sana kututawala katika biashara Tanzania kama hivi ambavyo Mbowe alivyofanya biashara ya kuuza chama kwa kuwaweka BOND wanywa viroba

Kunasheria zinazo
Kuzuia wewe kufanya biashara au BRN ndo inayokutesa.


Wachaga watazidi sana kututawala katika biashara Tanzania kama hivi ambavyo Mbowe alivyofanya biashara ya kuuza chama kwa kuwaweka BOND wanywa viroba
 
Wezi wakubwa nyie, mwizi wa kuku anatiwa kiberiti, hivyo ninyi mnastahili maradufu! Ukweli mchungu huu hapa: LOWASSA-62%, Mtu wenu-37%. Wizi ni fedheha, siyo jambo la kujionea fahari! Ndiyo maana mmekosa hata ujasiri wa kupita mitaani kushangilia!

ww kweli gumegume lete ushahidi unaokuonesha lowasa kashinda.
 
Wezi wakubwa nyie, mwizi wa kuku anatiwa kiberiti, hivyo ninyi mnastahili maradufu! Ukweli mchungu huu hapa: LOWASSA-62%, Mtu wenu-37%. Wizi ni fedheha, siyo jambo la kujionea fahari! Ndiyo maana mmekosa hata ujasiri wa kupita mitaani kushangilia!

TWAWEZA walisema mkawapuuza, sasa na wewe endelea kujiaminisha hivyo hivyo JPM anaapishwa alhamis, upo hapo!
 
Wezi wakubwa nyie, mwizi wa kuku anatiwa kiberiti, hivyo ninyi mnastahili maradufu! Ukweli mchungu huu hapa: LOWASSA-62%, Mtu wenu-37%. Wizi ni fedheha, siyo jambo la kujionea fahari! Ndiyo maana mmekosa hata ujasiri wa kupita mitaani kushangilia!

Sijawahi ona mijitu mizuzu kam UKAWA. Kila yanachoambiwa yanakubali tu bila hata kufikiri. Mtaolewa!!!!!
 
Takwimu yako hiyo ss tuliokuwa site takwimu yetu rais ni JPM. TUMIA KICHWA WEWE mnaibiwaje majimbo 188 pambafu



ccm mwisho wa wizi uko karibu sana, na nilazima mkubali kuwa Lowasa ana elimu ya kuwasaidia wTz, hapo alipoiweka ccm ni darasa tosha, mkimya mtendaji hana maneno mengi.
 
Wezi wakubwa nyie, mwizi wa kuku anatiwa kiberiti, hivyo ninyi mnastahili maradufu! Ukweli mchungu huu hapa: LOWASSA-62%, Mtu wenu-37%. Wizi ni fedheha, siyo jambo la kujionea fahari! Ndiyo maana mmekosa hata ujasiri wa kupita mitaani kushangilia!

ukweli sio huo bali ukweli ni huu
Kushindwa kunauma bwana. Mna mawakala majimbo yote, mna wagombea majimbo yote; mnaibiwaje kura hapo?
 
Kujifariji nako kuzuri acha wajifariji tu
 
ccm mwisho wa wizi uko karibu sana, na nilazima mkubali kuwa Lowasa ana elimu ya kuwasaidia wTz, hapo alipoiweka ccm ni darasa tosha, mkimya mtendaji hana maneno mengi.

labda anayoelim ya kuwafundisha nyumban kwenu lakin sio kwa watanzania.
 
wewe dada,unajua ni majimbo mangapi CCM wameyachukua kwa nguvu plus rushwa?,mfano mzuri huku mbagala!halafu mapovu yanawatoka kutetea ushindi batili,na huyo mtu wenu sijui kama atamaliza hata mwaka.

Unataka kumuua? Khaaa
makubwaa
 
Wezi wakubwa nyie, mwizi wa kuku anatiwa kiberiti, hivyo ninyi mnastahili maradufu! Ukweli mchungu huu hapa: LOWASSA-62%, Mtu wenu-37%. Wizi ni fedheha, siyo jambo la kujionea fahari! Ndiyo maana mmekosa hata ujasiri wa kupita mitaani kushangilia!

wewe dada,unajua ni majimbo mangapi CCM wameyachukua kwa nguvu plus rushwa?,mfano mzuri huku mbagala!halafu mapovu yanawatoka kutetea ushindi batili,na huyo mtu wenu sijui kama atamaliza hata mwaka.

ukweli sio huo bali ukweli ni huu
Kushindwa kunauma bwana. Mna mawakala majimbo yote, mna wagombea majimbo yote; mnaibiwaje kura hapo?

Mtimbo,

Hizi story za Lowassa kuibiwa kura, ohoo ana ushahidi, ohoo ameenda sijui mahakama gani ya kimataifa ni story za kiongo tu.

Lowassa angetoa angalau fomu 1 ya matokeo katika jimbo 1 tu iliyosainiwa na wagombea na mawakala wao inayoonyesha matokeo tofauti na yale yaliyotangazwa na tume ningemheshimu sana.

Sasa tunaletewa story za uongo tu hapa.
Mtu unakosaje ushahidi wa fomu walizonazo wagombea wako wa ubunge na mawakala wako wa kila jimbo?

Huu sasa ni mzaha.
 
Tena atadumu miaka 10 kwa jina la Yesu na La CCM. UKOMEEEEEE kumyombea mabaya ufe wewe kwanza ambaye hujui tofauti ya 2+2=4 unadhani 2+2=22
Huyo sijui einsten akomeeee kabisa
 
Mr zero aliishiwa ngawila akaangia utapeli wa kisiasa ndomana alisema hana chama
Kule kuzunguka na lowasa ilikua ni utapeli tu wa kumyafua pesa EL
 
Back
Top Bottom