- Thread starter
- #101
Mkuu anza maisha, umri unaendaaa!!
Umri kama umekwenda,,Mbona babu ZEZETA anataka kutuongoza watanzania..mwambie aende Monduli kupumzika.Tukishika nchi tutaMFILISI huyu FISADI PAPA ZEZETA
Mkuu anza maisha, umri unaendaaa!!
Wakipewa urais watajimilikisha na visima vyetu vya gesi. Lowassa hastahili kuwa rais wa nchi hii.
mkonoz hata phd huwezi pata kwa reasoning zako nilivozipitia hapa, una akili kama za wafanya kazi wa ndani(mabeki3)
Tena ingekuwa vizuri angekuwa na utajiri mara 1000000 zaidi ya huo...
Tulishapiga kura siku nyingi sana na hata upost nini kuhusu lowasa
#Lowasa atosha
Huyo Fred lowassa mbona mi siifahamu sura yake mwenye picha yake
We mbwa wa kike,,hata nusu ya maisha ninayoishi huwezi KAMWE kuyafikia,,,mimi sio mlamba miguu wa mbowe,,I am a free thinker: elimu yangu:exposure yangu na mengineyo kamwe hutoweza hata kugusa mbilikimo wewe;kondomu ya mbowe:
I hate Ufisadi,,and I will shout as loudly as I can,,FREELY
Hilo zee zezeta lenu mbowe aliloliokota ni JIZI; tena JIZI PAPA.
I will loudly shout bila mbilikimo kama wewe kunikwaza:
Mkeo amerudi hapo kigamboni,,si tulikuwa naye hapa posta
Sura kwani unataka kumtongoza?
vipi wewe dingi yako kakufanikishia kitu gani
wanajamvi,
mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni rostam azizi.
Kampuni ya pili ni integrated property limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na freddy ni wamiliki wa kampuni hii.
Barare ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko mbuzi mawe serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.
Fred ni best friend wa masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa mlatie ili wapige pesa ndefuuu.
Mke wa fred anamiliki shares 30% pale hyatt hotel.
Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?
Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? I don't know)
swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba uk, sweden na malta
sijakataa,,atufundishe na sisi kupiga mavitu basi,,mbona wanapiga wenyewe tu,,tupige wote
tutalichoma moto hilo FISADI PAPA(LOWASSA ZEZETA)unatuchafulia siku mkuu tuko kwenye majonzi ya kamanda m.mtoi.
Sasa kama ulifanya kazi na huku lipwa kutokana na uzembe leo umeona ndiyo uje ubwabwaje upuuzi huu ,nakushauri acha maana tuna msiba wa mtoi.....
r.i.p mtoi
.
.
.
.r.i.p mtoi.
KIMPUMU@worktutalichoma moto hilo FISADI PAPA(LOWASSA ZEZETA)
mara ngapi?!, its gone!.CCM should go.
Wanajamvi,
Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.
Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.
Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.
Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.
Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.
Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?
Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)
Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta