Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Tuachane na wivu wa kijinga, tutafute pesa, ushauri wangu wa bure huo
 
Weka nyaraka za umiliki wa hizo mali... acha porojo
 
ULIZIA UTAJIRI WA RIZ1...

UKIAMBIWA UTAJIRI WA RIZ1 hakuna Tz hii wa kumfikia...!! ni hatariiii...!!!

Ana miliki makampuni hatari tupu...!!!


Lowassa tayari Rais... bado kuapishwa tu...!! period..!!
 
Hv wewe mwanaume gani? Unakuj kuongelea utajiri wa mtoto wa lowassa? Mbona huongelei utajiri wa mtoto wa kikwete?? Double standards Na chuki nyingi.
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta

Kaloge na wewe
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta
Wow, this post i quite invasive and surely sio post ya kubeza

Tutajie na wa Ridhwani sasa
 
Tajiri wa fikra hawezi kuongelea watu,hana wivu, nawala halalamiki tajiri wa fikra hufikiri namna ya kutoka alipo.
 
Weka nyaraka za umiliki wa hizo mali... acha porojo

Tafta mali zako na wewe au endelea kutumika apa kuchafua watu ukshtuka wenzako wamekuacha mali za lowasa family wamezpata cz there serious hawana mda wa kushnda huku jf kuchafua watu...Fred Lowassa ni smart guy sana na ni moja ya watoto wa viongozi asiye na makuu anaishi simple life mkarmu na mtoaji mzuri kwa wahitaji kwa kfup familia ya lowasa haina makuu
 
nchi za kiafrika tajiri hastahili kuongoza nchi .
nchi inastahili iongozwe na mtu maskini kama magu
 
Back
Top Bottom