Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Una mashaka na utajiri wa Mwanaume mwenzako/ Mafanikio ya Mwanamke mwenzako?

Nani alikuambia ukiwa na Midigrii mingi kichwani ndio kutajirika?

Kwahiyo Form 6 hatakiwi kuwa na Pesa?

Mchukie baba yako kwa kushindwa kukupa elimu ya msingi juu ya mafanikio yako.

#Mabadiliko


Mabadiliko ni pale mkeo anapofanywa na jirani yako; hayo ndo mabadiliko
 
upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.

Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza

umepotea...
 
wapumbavu pasco na mbilikimo nyerere ndo mnahaminishwa kuwa shivacom ni ya sumahiya,,,,poleni sana

Pili,alphatel imeusika kukwepa kodi na kuuza vocha feki: hiyo siyo biashara halali:

Wote wawili hamumjui Freddy,,mnajipendekeza: Nifafanunulieni nyumba ya Malta ya mkwewe Lowassa: ameinunua kwa dola 390,000:

Kabla mapovu hayajawatoka nitajie tu jina la huyo mkewe kama kweli unamjua,

PASCO kumbe we ni sawa na Yericho,pole sana

Shivacom ni ya ROSTAM, nasema kwa SAUTI KUBWA na vielelezo vipo: Sumahiya is just a beneficiary;

Mnajifanya mna data za nchi,,kumbe Posta mmeiona juzi juzi

Jf ...Where we dare to talk OPENLY.... tuwekee hivyo vielelezo ulikomboe Taifa lako.
 
wapumbavu pasco na mbilikimo nyerere ndo mnahaminishwa kuwa shivacom ni ya sumahiya,,,,poleni sana

Pili,alphatel imeusika kukwepa kodi na kuuza vocha feki: hiyo siyo biashara halali:

Wote wawili hamumjui Freddy,,mnajipendekeza: Nifafanunulieni nyumba ya Malta ya mkwewe Lowassa: ameinunua kwa dola 390,000:

Kabla mapovu hayajawatoka nitajie tu jina la huyo mkewe kama kweli unamjua,

PASCO kumbe we ni sawa na Yericho,pole sana

Shivacom ni ya ROSTAM, nasema kwa SAUTI KUBWA na vielelezo vipo: Sumahiya is just a beneficiary;

Mnajifanya mna data za nchi,,kumbe Posta mmeiona juzi juzi

Acha povu!!shiva com ni ya Tanil,,Rostam yake ni 17.5% ya Voda watoa dili kwa Shivacom
 
Baba yangu ni marehemu,,alinilea kusimamia haki na utajiri wa fikra sio mali

Wacha umbea wewe!! Nyie ndo mmetuletea umasikini kwenye Nchi hii.
Na sasa mnapambana ili msitoke madarakani ili mjimilikishe gas yetu vizuri... mtake msitake mtatoka temu hii!!
 
We mbwa wa kike,,hata nusu ya maisha ninayoishi huwezi KAMWE kuyafikia,,,mimi sio mlamba miguu wa mbowe,,I am a free thinker: elimu yangu:exposure yangu na mengineyo kamwe hutoweza hata kugusa mbilikimo wewe;kondomu ya mbowe:

I hate Ufisadi,,and I will shout as loudly as I can,,FREELY

Hilo zee zezeta lenu mbowe aliloliokota ni JIZI; tena JIZI PAPA.

I will loudly shout bila mbilikimo kama wewe kunikwaza:

Mkeo amerudi hapo kigamboni,,si tulikuwa naye hapa posta


!
!
Mwalimu Mkuu mama ako kweli wewe. Kumbe uko posta tu hapo???? Wewe Ni aibu kwa baba yako.
 
Hii nchi ukiwa tajiri taabu, ukiwa masikini taabu pia
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta

Mkuu anza maisha, umri unaendaaa!!
 
upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.

Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza[/QUOTE

Uza 0655
 
Mali za rithiwani kikwete auzioni sio? Umeona tu za Freddy ao kwakuwa now ni mpinzani?
 
Wakipewa urais watajimilikisha na visima vyetu vya gesi. Lowassa hastahili kuwa rais wa nchi hii.
 
upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.

Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza

Kufia muhimbili ni sifa au? Inamwongezea sifa mgombea huyo?
 
Back
Top Bottom