Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta
Haya tumekusikia! na wewe umefanya yapi ya kujivunia na utuandikie ma % % yako!!
 
ndio maana unaishia kuajiriwa. Tena na watu binafsi. Baba yako hakukufundisha namna itakayokufanya kuwa muajir...

Nashukuru,,mzee wangu ni marehemu so sitamjadili hapa: Nafanya biashara halali kabisa hapa Scandnavian ya kujiajiri: Keep on dreaming: Mpaka sasa kuna watanzania zaidi ya 50 wanaendesha maisha yao kutokana na biashara yangu hapa.As you know,,we have zero corruption in here,,,,aaaaah sorry naongea na mfuasi wa Gwajima,,,nenda kanisani kesho kasali muombee mzee zezeta ashinde uchaguzi akiwa uchi
 
Mkuu mchokonozi, acha uchokonozi wenye maurongo!, mmiliki wa shivacom ni Tanil somaiya na sio RA!.
Hata ukisema kweli 99 ukachanganya na uongo mmoja tuu!, huo uongo utafanya hizo kweli zote 99 kuonekana ni uongo mtupu! kwa formular ya samaki mmoja akioza!.

Hii haisaidii kitu!, it is too little, too late!, Lowassa ndio rais wetu, watu wa mamuzi waliishaamua kitambo, hata mseme nini, haitasaidia kitu!, its never gonna change a thing!.

Pole!,

Pasco
Mhh!!! Pasco ni wewe?
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta

Wewe unamiliki nini? Mbwa???
 
Mkuu mchokonozi, acha uchokonozi wenye maurongo!, mmiliki wa shivacom ni Tanil somaiya na sio RA!.
Hata ukisema kweli 99 ukachanganya na uongo mmoja tuu!, huo uongo utafanya hizo kweli zote 99 kuonekana ni uongo mtupu! kwa formular ya samaki mmoja akioza!.

Hii haisaidii kitu!, it is too little, too late!, Lowassa ndio rais wetu, watu wa mamuzi waliishaamua kitambo, hata mseme nini, haitasaidia kitu!, its never gonna change a thing!.

Pole!,

Pasco

Pasco,Mkuu waandishi wote Tanzania mmeshindwa kutudokeza wale watu wa nne walioenda na Dr.W.Slaa south ni kina nani na wanatoka kada ipi?!

Vipi na mzigo aliopewa mwenye kheri huyu wa kula mihogo na mandondo?!?b

Au waandishi nyinyi mnashindwa hata na wanaoshinda kwenye masina gogi na madhahabuni?!!

Au mtasema kuwa Gwajima muongo?!

Cc Pasco
 
Last edited by a moderator:
Okay,,ngoja niweke picha za Mbuzi mawe,,hoteli wanayomiki na picha za zanzibar hotels wanazomiliki
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta

Una mashaka na utajiri wa Mwanaume mwenzako/ Mafanikio ya Mwanamke mwenzako?

Nani alikuambia ukiwa na Midigrii mingi kichwani ndio kutajirika?

Kwahiyo Form 6 hatakiwi kuwa na Pesa?

Mchukie baba yako kwa kushindwa kukupa elimu ya msingi juu ya mafanikio yako.

#Mabadiliko
 
Pasco,Mkuu waandishi wote Tanzania mmeshindwa kutudokeza wale watu wa nne walioenda na Dr.W.Slaa south ni kina nani na wanatoka kada ipi?!

Vipi na mzigo aliopewa mwenye kheri huyu wa kula mihogo na mandondo?!?b

Au waandishi nyinyi mnashindwa hata na wanaoshinda kwenye masina gogi na madhahabuni?!!

Au mtasema kuwa Gwajima muongo?!

Cc Pasco

Mbona waandishi wameshindwa kutudokeza bilioni 15 alizochukua mbowe kutoka kwa rosta on behalf of lowassa ili agombee bila kupingwa:::

Mbowe kweli mchaga: yaani mmetulia tuliii,,kawatia uzezeta kama aliomtia lowassa,,hata kuuliza mnaona aibu:

wapumbafu na malofa
 
wapumbavu pasco na mbilikimo nyerere ndo mnahaminishwa kuwa shivacom ni ya sumahiya,,,,poleni sana

Pili,alphatel imeusika kukwepa kodi na kuuza vocha feki: hiyo siyo biashara halali:

Wote wawili hamumjui Freddy,,mnajipendekeza: Nifafanunulieni nyumba ya Malta ya mkwewe Lowassa: ameinunua kwa dola 390,000:

Kabla mapovu hayajawatoka nitajie tu jina la huyo mkewe kama kweli unamjua,

PASCO kumbe we ni sawa na Yericho,pole sana

Shivacom ni ya ROSTAM, nasema kwa SAUTI KUBWA na vielelezo vipo: Sumahiya is just a beneficiary;

Mnajifanya mna data za nchi,,kumbe Posta mmeiona juzi juzi

Sasa umekuja kutuuliza nini!? Wakati umbea wote uko nao!!
Mimtu mingine bana!!?
Umbea tu!!!!
 
Back
Top Bottom