mtoto wa fisadi papa nae arithi ufisadi wa baba yake, natamani mali zao zitaifishwe
Siku hiyo lazima tufanye sherehe ya kufa mtu kwa Tanzania kupata Uhuru wa Pilihahahah mkuu nitakutafuta kwa furaha zaidi ccm akianguka 25 October
Siku hiyo lazima tufanye sherehe ya kufa mtu kwa Tanzania kupata Uhuru wa Pili
upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.
Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza
wanajamvi,
mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni rostam azizi.
Kampuni ya pili ni integrated property limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na freddy ni wamiliki wa kampuni hii.
Barare ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko mbuzi mawe serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.
Fred ni best friend wa masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa mlatie ili wapige pesa ndefuuu.
Mke wa fred anamiliki shares 30% pale hyatt hotel.
Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?
Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? I don't know)
swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba uk, sweden na malta
sijakataa,,atufundishe na sisi kupiga mavitu basi,,mbona wanapiga wenyewe tu,,tupige wote
upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.
Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza
Mkuu mchokonozi, acha uchokonozi wenye maurongo!, mmiliki wa shivacom ni Tanil somaiya na sio RA!. Hata ukisema kweli 99 ukachanganya na uongo mmoja tuu!, huo uongo utafanya hizo kweli zote 99 kuonekana ni uongo mtupu! kwa formular ya samaki mmoja akioza!.
Hii haisaidii kitu!, it is too little, too late!, Lowassa ndio rais wetu, watu wa mamuzi waliishaamua kitambo, hata mseme nini, haitasaidia kitu!, its never gonna change a thing!.
Unakabiliwa na tatizo la wivu wa kike wa umasikini wa kuwa na chuki kwa kila mwenye nacho!, sisi wengine ni umasikini tumezoea, tena ni masikini jeuri, kama Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!, hatuna wivu na wenye nacho, ndio maana tumewakaribisha kwetu!, tumeridhika na umasikini wetu ndio maana kila siku tunaendelea kuichagua CCM huku ikituzidishia tuu huu umasikini!, ila tarehe 25 October, tutasema basi!.
Ila na wewe if you can, just get rich or die trying!.
If you can't, I feel sorry for you!, acha wivu!.
Pole!,
Pasco
EL Fisadi, Slaa ana ushaidi, Mbowe ana ushahidi, Mnyika ana ushahidi,Tundu Lissu ana ushaidi(source JK), Lema ana ushahidi, Msigwa ana Ushahidi na Hata Sumaye anajua(Source wao wenyewe) halafu wanataka tuwe na Rais Fisadi? Tumerogwa na nani?Hivi hii nayo ni mada? Mtoto wa tajiri unataka awe masikini! Lowassa ni tajiri wa muda mrefu mno rejea 1995 walimletea figisufigisu kisa mali zake lakin hakuna aliyetoa ushahidi wa uharamu wa mali hiyo. Ok tuanze kudiscuss matajiri wote bongo kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho ujinga mkuu.
Tahadhari kabla ya Hatari, Pesa haichoshi.Hatutaki kurudi nyuma kila siku.Ukijua utajiri Alionao Riz one kaupataje Itakua rahisi sana kwa Fred Lowassa
masikini pasco! baada ya kujificha kwa muda mrefu sasa umeamua kuja front kutetea mkate wako! kila la heri kwenye hili galasa ulilochagua!lets hop no one has an ACE in CCM.., maana kwa mwendo unavyokwenda.., waweza kosa mti wa kuparamia november 2015!
Ushauri wangu kama mwanajamvi.., penda kwa kiasi, shabikia kwa kiasi, sapoti kwa kiasi, hakuna haja ya kujiapiza..,
Yule mwana wa mfalme kwa nini asikufundishe?tatizo lenu mmeridhika na b7 ya kujazia matumbo tusijakataa,,atufundishe na sisi kupiga mavitu basi,,mbona wanapiga wenyewe tu,,tupige wote