Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

Mtoto/watoto wa Edward Lowasa wana haki ya kumiliki mali zao binafsi bila kumhusisha baba yao.
Hata hivyo, kama una uthibitisho kuwa amerithi kutoka kwa mzazi wake na pia mali hizo zimepatikana isivyo halali, hapo kuna hoja ya msingi na tunaweza kumhusisha Edwaed Lowasa na jinai hiyo.
Anayegombea Urais ni Edward Lowasa, kama hoja yako inahusu kampeni, basi tuoneshe uhusiano wa moja kwa moja wa upatikanaji wa mali hizo na baba yake. Kutaja mali za watoto, ndugu, marafiki haitoshi kuthibitisha uovu!
 
Mjinga kweli wewe, unaanza kuongelea feature tense, baada ya present tense, watu mnatumiwa vibaya sana. Tena unaacha kushukuru kwa kuajiliwa unaanza kumchunguza boss wako, kafie mbali.
 
Mkuu, watanzania wengine woooote wenye nazo unajua walikozipata isipokuwa Fred Lowassa? Na kwanini unahoji sasa mara baada ya kuwa ulifukuzwa kwa udokozi tena ulihurumiwa ilipaswa upelekwe keko? Tusaidie hayo tafadhali
 
Mungu amempangia kila mtu riziki yake iyo nirizi aliyo pangiwa na mungu !
Apa duniani tunasemaga kila mbuzi anakula usawa wa kamba yake kwaiyo wewe utabakia kuongea tu kula usawa wa kamba yako!
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta

Mbona vijana Matajiri wako wengi tu hapa Tanzania? umejiuliza MO amepata wapi ule utajiri wake mpaka anakuwa number moja africa? au wakina Mosha wanamajengo kila kona mbona ujiulizi wapi wanapata hizo pesa?
so ww umemuona fred lowasa tu what about ridhiwani?
ila kumbuka kuna mabenk yanakopesha hata ww unaweza kwenda kukopa bank
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta


Hebu tupatie pia michongo ya rizi 1
 
Kama unajua wanapo kutana na Masha,why don't you go there,alafu umuulize chanzo cha utajiri wake..
 
Kila siku "shutuma." Na mnatugeuza watanzania kuwa vikasuku vyenu.....
This time around..hatusikilizi urongo tena.

#CcmOut
 
Mkuu mchokonozi, acha uchokonozi wenye maurongo!, mmiliki wa shivacom ni Tanil somaiya na sio RA!. Hata ukisema kweli 99 ukachanganya na uongo mmoja tuu!, huo uongo utafanya hizo kweli zote 99 kuonekana ni uongo mtupu! kwa formular ya samaki mmoja akioza!.

Hii haisaidii kitu!, it is too little, too late!, Lowassa ndio rais wetu, watu wa mamuzi waliishaamua kitambo, hata mseme nini, haitasaidia kitu!, its never gonna change a thing!.

Unakabili
wa na tatizo la wivu wa kike wa umasikini wa kuwa na chuki kwa kila mwenye nacho!, sisi wengine ni umasikini tumezoea, tena ni masikini jeuri, kama Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!, hatuna wivu na wenye nacho, ndio maana tumewakaribisha kwetu!, tumeridhika na umasikini wetu ndio maana kila siku tunaendelea kuichagua CCM huku ikituzidishia tuu huu umasikini!, ila tarehe 25 October, tutasema basi!.

Ila
na wewe if you can, just get rich or die trying!.
If you can't, I feel
sorry for you!, acha
wivu!.

Pole!,

Pasco
Suala Sio a Wivu au Nini Kumbuka tunamzungumzia mtu ambaye kwa ahati mbaya anaweza kua Mkuu w nchi Hii. Hatukatai kuongozwa na tajiri endapo utajiri kapataihalali. Hatutki kuongozwa na Jambazi!
 
Mkuu mchokonozi, acha uchokonozi wenye maurongo!, mmiliki wa shivacom ni Tanil somaiya na sio RA!. Hata ukisema kweli 99 ukachanganya na uongo mmoja tuu!, huo uongo utafanya hizo kweli zote 99 kuonekana ni uongo mtupu! kwa formular ya samaki mmoja akioza!.

Hii haisaidii kitu!, it is too little, too late!, Lowassa ndio rais wetu, watu wa mamuzi waliishaamua kitambo, hata mseme nini, haitasaidia kitu!, its never gonna change a thing!.

Unakabili
wa na tatizo la wivu wa kike wa umasikini wa kuwa na chuki kwa kila mwenye nacho!, sisi wengine ni umasikini tumezoea, tena ni masikini jeuri, kama Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!, hatuna wivu na wenye nacho, ndio maana tumewakaribisha kwetu!, tumeridhika na umasikini wetu ndio maana kila siku tunaendelea kuichagua CCM huku ikituzidishia tuu huu umasikini!, ila tarehe 25 October, tutasema basi!.

Ila
na wewe if you can, just get rich or die trying!.
If you can't, I feel
sorry for you!, acha
wivu!.

Pole!,

Pasco

Naona mipovu ya viroba na lugha gongana
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta

swali ambalo.linaulizwa na wengi na linapata ugum kujibika ni kuhusu utajiri na kibuli cha riz kaka huko unapotea tu
 
Wanajamvi,

Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.

Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.

Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.

Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.

Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.

Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?

Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)

Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta

Ukimaliza hadithi yako..tuhadithie na utajiri wa Riz, kaupataje ndani ya miaka mitatu tu kawa milionea!!

Hatuna cha kumlaumu wa kumshutumu Fredy kama hajapata kihalali na serikali ipo....haijachukua hatua, na baba yake amekuwa nje ya serikali kwa miaka 8, hakuna hatua iliyoshukuliwa..MAZINGILA YANATUAMINISHA HANA HATIA.

Sasa huyu dogo Riz..kuna ushahid wa kimazingila wa kupata utajili kwa kutumia Ikulu..haya tuhadithie,inaonyesha una umbeya mwingi.

Halafu tuhadhie hawa wakuu wa kaya..ben na mrisho waliingia maskini imekuwaje sasa ni mamilonea ??
 
Hapo yupo na MUUZA MADAWA YA KULEVYA(COCAINE;HEROINE) number moja kushoto,,,Wote hao na Kinje wanaombea Mzee aingie ikulu ili wamalize kabisa vijana wa dar es salaam kwa unga( unga ndo ajira ya lowassa kwa watanzania)

We umejuaje
 
Back
Top Bottom