Kweli mkuu amewapa chadema wabunge na madiwani wengi sana
Mboe ye alishatumwa siku nyiiiingi,.
Sasa iv ni Maembe ndo anaandaliwa.
Huyo mwenye uwaraza aliyetupa kisogo ni nani hapo aisee...?
Kwani money laundering na upelelezi kutokukamilika haimuhusu huyu kipanyaKipanya alishasema kwamba yeye hajawahi kutamka kwamba hicho kibonzo ni jpm. Watu ndio wanasema jpm.
Na jpm alishasema anafahamu kwamba anachorwa kichwa kikubwa mbele na kimegawanyika katikati.
Katuni za kipanya huwa sinaacha maswali na tafsiri nyingi na hazina ushahidi.
Kwa mfano unamfungulia kesi mahakamani utaithibitishiaje mahakama kwamba huyu katuni mwenye kichwa kikubwa ni jpm? Je jpm anafanana na hiyo picha?
Sent using Cash Money Wings
Na bado watu wamekuwa vipofu wakiamini Chadema ni chama cha upinzani.Mboe ye alishatumwa siku nyiiiingi,.
Sasa iv ni Maembe ndo anaandaliwa.
Hii siyo Kipanya huyo ni King KinyaLakini kwa nini kipanya huwa hakamatwi kwa jinsi anavyomchora mzee wetu na kichwa kikubwa kiasi hicho
Akili matope hizo, hata hao wenye chama chao wanakucheka Kwa dharaaaauNa bado watu wamekuwa vipofu wakiamini Chadema ni chama cha upinzani.
FB huyu yupo pale kwa masilahi mapana ya ....... .. .....
Salute kwa kipanya...hii kamati gani lakini maana ng'ambo hawapo wawakilishi