Hukujua kwamba walimu hakuna?Ndio maana katika Selection Form mkapewa option ya technical colleges ila kwa kuwa mnapenda sifa za kusoma a level mnajifanya wabishi hamtaki kwenda vyuoni!Sasa piga hiyo miaka yako miwili,then mambo yasipokuwa mazuri ndio utajua umuhimu wa hivi vyuo vya ufundi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.