Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,573
Hujachelewa mkuu kwan mm ni mmoja wapo ninasoma.Hivi
kwa sasa bado sijachelewa
Nilipata 3 ya 24 nina D ktk chemistry na bios c ya physics na masomo ya arts na F ya math yaliyobakia D ila kigezo cha ziada wakanipa English bcuz nina c.
Hujachelewa kaka