Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,720
Kaka huyo kupata tu div 0 ni kwamba shule sio sehemu yake.. cha kufanya kama vip jaribu kuangalia aende hivi vyuo vya ufundi then asomee hata cherehani au fani yoyote kwa miaka 2 au 3 then mwanzishie biashara kwenye alichokisomea. Lazima tujifunze kuelewa na si kulazimisha pale mwanao shule inapogoma. Nchi kama ujerumani mtoto akifeli secondary ama akipata marks za kutoweza kuendelea college moja kwa moja anakuwa allocated kwenda kusomea kazi.Anaweza kurudia form 3?
chochote kile kama ni mapishi au cherehani ila kama mtu kashapata zero hiyo ni dalili shule sio kwakeUfundi bongo mkuu haulipi kivilee labla au wa like aingie kwenye mapishi
Ngoja nikuambie kitu, ni rahisi sana kumuelewesha mwanafunzi kwa vitendo, na kwenye ufundi 70% ya mafunz yanatolewa kwa vitendosasa inakuaje mtu kafeli apelekwe ufundi wkt huko ndio science imechukua 90% ya maisha ya kiufundi
UbarikiweUshauri pumba huuu...ayo maneno mkuu ni ya watu walioshndwa shule,eti elimu haina umuhimu saana..ayoo maneno ya nchi zilzoendelea sio kwa watu wa familia za kiafrica..tena usiongee hzo pumba umu kuna vjana bado wanahtaji future..wee shauli kam akafanye elimu ya ufundi au elimu ingne sio useme elimu haina umuhimu saana,kam unaweza waambia wanao maneno hayoo basi mzazi hakuna apaa
Mimi nina wasiwasi sana na matokeo hayo kwa hiyo kauli ya kuwa hakutegemea.Nina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.
Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.
Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar
You no longer deserve my attention...Wewe Chenjeu Sana Tena Uliyebobea, Sasa Unataka Ushauri Halafu Unanilazimisha Nifanane Na Mawazo Yako? Hata Kama Ni Mtoto Wa Kike Wewe Mpe Bodaboda Ajitafutie Kilema Chake.
Kam nimeongea maneno makali kwako am sorry boss nmepanic,ulimi umeteleza..bt huoo ushauri wako c mzuri kumshaur mtu ata kdogo..au kuuweka umu,watu wengi wanaptia post na wanajifunza umuUbarikiwe
Hivi nikikwambia ubarikiwe si unastahil kupokea baraka? Kama post yangu ni mbaya kuliko zote nadhan mods wataniambia niiondoe .. So relaxKam nimeongea maneno makali kwako am sorry boss nmepanic,ulimi umeteleza..bt huoo ushauri wako c mzuri kumshaur mtu ata kdogo..au kuuweka umu,watu wengi wanaptia post na wanajifunza umu
Sasa Wewe Zumbukuku Ungeandika Kiswahili Ungepungukiwa NINI? Kiingereza Chenyewe Hovyo Kabisa Bila Shaka '' Umegraduate '' Kwa Ras SimbaYou no longer deserve my attention...
Hana mchumba, ni bado mtoto mdogo, siyo miaka 17 kama ya wasanii wa bongo movie...bado mdogo sanaKama ana mchumba muozeshe......
bila kumung'unya maneno na kuzunguka duara ufundi lazima ufeli ndo uwelekee hukoNgoja nikuambie kitu, ni rahisi sana kumuelewesha mwanafunzi kwa vitendo, na kwenye ufundi 70% ya mafunz yanatolewa kwa vitendo
Kwanza wewe ulifikaje huko kwenye ufundi?haukufeli kweli?
Mnunulie Bodaboda Ale Vichwa Hasa Kipindi Hiki Tunaelekea Pasaka Wateja Ni Wengi MnoHana mchumba, ni bado mtoto mdogo, siyo miaka 17 kama ya wasanii wa bongo movie...bado mdogo sana
Ndio mkuu
Samahani mkuu....lakini mimi binafsi nina historia mbaya na matokeo mabaya ya kuwasomesha wajomba zangu....yaani wote wameniangusha....kama sio kunibwaga....ninachokushauri ni kuwa umuulize mara mbili mbili au hata mara kumi kumi kuwa kweli ana nia ya kusoma kweli au analeta maskhara...hasa kwa mazingira ya huku mjini na hao boda boda waliojaza huko mitaani unaweza ukaletewa mjukuu badala ya cheti cha form four....huyo mwenye miaka 17 unayemuona mdogo kwa vijana wa boda boda na makonda wanamuona kama mjane anayehitaji kuliwazwa.....Hana mchumba, ni bado mtoto mdogo, siyo miaka 17 kama ya wasanii wa bongo movie...bado mdogo sana
Mpaka Aje Apate Degree Kwa Ushauri Wako basi Tanzania Tutakuwa Na Rais Wa Awamu Ya 9Aende kuresit mtihan apate angalau ata d 4 then aende chuo aanze na chet then diploma baadae degree ila msisitze awe serious na shule
Asante kwa ushauri mkuuSamahani mkuu....lakini mimi binafsi nina historia mbaya na matokeo mabaya ya kuwasomesha wajomba zangu....yaani wote wameniangusha....kama sio kunibwaga....ninachokushauri ni kuwa umuulize mara mbili mbili au hata mara kumi kumi kuwa kweli ana nia ya kusoma kweli au analeta maskhara...hasa kwa mazingira ya huku mjini na hao boda boda waliojaza huko mitaani unaweza ukaletewa mjukuu badala ya cheti cha form four....huyo mwenye miaka 17 unayemuona mdogo kwa vijana wa boda boda na makonda wanamuona kama mjane anayehitaji kuliwazwa.....
Tafakari chukua hatua......